Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,382
Kuna matukio mengi sana yanayofanywa na Rais na baadaye kubanika amekosea na inaelezwa kuwa kuna baadhi ya wasaidizi wake pale ikulu wanamfanya Rais wetu aonekane kituko na pengine kutoa matamshi ambayo baadaye inabanika ni uongo mtupu.
Mfano ni suala la TUCTA ambapo inaelezwa kuwa alitoa taarifa ya uongo wakati akiongea na wazee na sasa imebanika kuwa alipotoshwa na wasaidizi wake.
Aidha, hali ngumu ya maisha, hali ya umeme ya sasa n.k vinachangia taifa liendelee kukosa imani na rais.
Ningependa tuwajue wale wanaofanya RAIS wetu awe anakosea kila siku, tujadili uwezo wao nk
Mimi naanza kutaja
1:Salva Rweyemamu
2.........
Endelea kutaja
Mfano ni suala la TUCTA ambapo inaelezwa kuwa alitoa taarifa ya uongo wakati akiongea na wazee na sasa imebanika kuwa alipotoshwa na wasaidizi wake.
Aidha, hali ngumu ya maisha, hali ya umeme ya sasa n.k vinachangia taifa liendelee kukosa imani na rais.
Ningependa tuwajue wale wanaofanya RAIS wetu awe anakosea kila siku, tujadili uwezo wao nk
Mimi naanza kutaja
1:Salva Rweyemamu
2.........
Endelea kutaja