Gudboy
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 867
- 77
Jamani wandugu, heshima zenyu bana.
Mimi ni kijana mwenye maisha na kipato cha kawaida, naona umri unasonga kwa kasi ya ajabu, na hivyo kuifanya nafsi yangu inishawishi ya kwamba wakati wa kuoa umefika. Na kweli hata mimi mwenyewe nimegundua kuwa kumbe ni kweli wakati wa mimi kuwa na mwenza ni huu.
Maana jinsi ninavyoyaona haya maisha ni kama routine vile, hakuna cha zaidi kitakachonifanya nizidi kuchelewa kutafuta mwenza wa kuishi nae, zaidi ya yale yale ya kila siku (mfani, kwenda kazini, kurudi home, kula kwa mama lishe, week end kwenda kutembea na shughuli za hapa na pale kwa ajili ya kujiletea maendeleo).
Kutokana na haya yote naona nimebakisha mambo ya muhimu mawili tu katika maisha ya hapa ulimwengu nayo ni KUOA NA KUFA. Sasa kabla hili la kifo halija overtake hili la ndoa ndio nimeona ya kwamba wakati umefika ili nikamilishe maisha kamili.
Sasa huwa najiluliza je ni wapi naweza kupata mwanamke ambaye atakuja kuwa mke wangu? Nahitaji kuoa kwa nguvu zote bila ya kuchelewa au kupoteza muda. Wandugu je ni sehemu zipi naweza pata mke ambaye atakuwa na busara zote?
Nawasilisha
Mimi ni kijana mwenye maisha na kipato cha kawaida, naona umri unasonga kwa kasi ya ajabu, na hivyo kuifanya nafsi yangu inishawishi ya kwamba wakati wa kuoa umefika. Na kweli hata mimi mwenyewe nimegundua kuwa kumbe ni kweli wakati wa mimi kuwa na mwenza ni huu.
Maana jinsi ninavyoyaona haya maisha ni kama routine vile, hakuna cha zaidi kitakachonifanya nizidi kuchelewa kutafuta mwenza wa kuishi nae, zaidi ya yale yale ya kila siku (mfani, kwenda kazini, kurudi home, kula kwa mama lishe, week end kwenda kutembea na shughuli za hapa na pale kwa ajili ya kujiletea maendeleo).
Kutokana na haya yote naona nimebakisha mambo ya muhimu mawili tu katika maisha ya hapa ulimwengu nayo ni KUOA NA KUFA. Sasa kabla hili la kifo halija overtake hili la ndoa ndio nimeona ya kwamba wakati umefika ili nikamilishe maisha kamili.
Sasa huwa najiluliza je ni wapi naweza kupata mwanamke ambaye atakuja kuwa mke wangu? Nahitaji kuoa kwa nguvu zote bila ya kuchelewa au kupoteza muda. Wandugu je ni sehemu zipi naweza pata mke ambaye atakuwa na busara zote?
Nawasilisha