Mpauko
R.I.P
- Jan 19, 2019
- 2,323
- 3,353
Habari!
Ni wapi naweza kupata tiba kwa njia ya Ozone wakuu?
Ozone ni tiba ambayo Oksijen Inatolewa Kwenye Mtungi Inapita Kwenye Mashine Inachakatwa Kuwa Ozone.
Wakati Huo Damu yako Inatolewa Mkonon Na Kupelekwa Kwe Mashine Ndogo Mpaka Kwe Tube Fulan.
Ile Ozone Inapitishwa Kwenye Mafuta Fulan Inaingia Kwenye Tube Yenye Damu , Damu Inatokea Upande Mwingne Inarudishwa Mwilini.
OZONE inatibu:
-kufubaza wadudu wa HIV na bacteria.
-husaidia wenye kisukari.
-inaondoa seli mbovu na kuunda upya.
-hurekebisha homoni.
Ninahitaji kufahamu ni wapi nitapata tiba hii hapa Tz...
Ni wapi naweza kupata tiba kwa njia ya Ozone wakuu?
Ozone ni tiba ambayo Oksijen Inatolewa Kwenye Mtungi Inapita Kwenye Mashine Inachakatwa Kuwa Ozone.
Wakati Huo Damu yako Inatolewa Mkonon Na Kupelekwa Kwe Mashine Ndogo Mpaka Kwe Tube Fulan.
Ile Ozone Inapitishwa Kwenye Mafuta Fulan Inaingia Kwenye Tube Yenye Damu , Damu Inatokea Upande Mwingne Inarudishwa Mwilini.
OZONE inatibu:
-kufubaza wadudu wa HIV na bacteria.
-husaidia wenye kisukari.
-inaondoa seli mbovu na kuunda upya.
-hurekebisha homoni.
Ninahitaji kufahamu ni wapi nitapata tiba hii hapa Tz...