Acha ubishi mkuu, nyama inapelekwa usiku mnene na inaipitishwa bandari uchwara, daily kilo zaidi ya buku.
OI, ULIPATANaombeni kwa wale wazoefu mnijuze, ni wapi naweza pata nyama safi ya mdudu kwa ajili ya kuuburudisha mwili na roho yangu for the weekend, nimechoka sana na kazi zimenibana sana nahitaji mdudu nile nitulie hadi jumatatu.
Asanteni sana kwa wale mtakaonijuza na kwa wale mtakaokasirika nawakaribisha pia ila muache wivu
hii mboga safi sanaMkuu nilipata aiseee that was 2011, ila juzi nimevumbua chimbo lingine pale Promise Bar Mabibo Loyola wanakuandalia kitimoto ya kuchoma....duh
Sisi tunamfata hukuhuku shambani
Naombeni kwa wale wazoefu mnijuze, ni wapi naweza pata nyama safi ya mdudu kwa ajili ya kuuburudisha mwili na roho yangu for the weekend, nimechoka sana na kazi zimenibana sana nahitaji mdudu nile nitulie hadi jumatatu.
Asanteni sana kwa wale mtakaonijuza na kwa wale mtakaokasirika nawakaribisha pia ila muache wivu
Bei gan?
Kama uko dar nenda mburahati mwisho ulizia kwa sia,,ila jmos na j pili hutajutia mkuu