Nakumbuka kipindi kile miaka ya 90 nilipata mahali kusoma kitabu chenye kichwa cha habari "Mbio za Jasusi" simkumbuki mwandishi ila nakumbuka maudhui yake yalikua ni jasusi wa kitanzania akienda kuiokoa Afrika ya kusini.
Kwa anayefahamu wapi naweza kuipata nakala na hasa PDF form.
Kuna website yeyote naweza kupata nakala za Riwaya za kiswahili?
Shukrani
Kwa anayefahamu wapi naweza kuipata nakala na hasa PDF form.
Kuna website yeyote naweza kupata nakala za Riwaya za kiswahili?
Shukrani