Habari wadau,
Nina mwanangu yupo darasa la 3 shule zetu hizi za kisasa, English medium za kati.
Nimepata wazo la kumuhamishia Kenya. Kumtafutia shule nje ya nchi ni ili apate elimu itakayomuwezesha kujikomboa.
English Medium za Tanzania hizi naona kama zimekuwa magumashi sana. Ada inapanda bila sababu za msingi, walimu wenyewe wanaofundisha watoto English hawaijui hiyo English, hivyo hata masomo mengine kama science, mathematics wanafundisha hovyo hovyo,, na mtoto akirudi mtaani anacheza na wenzake au anaongea Kiswahili muda wote na dada.
Kuna mtu kaniambia syllabus ya Primary School ya Kenya ndiyo the best in East Africa kwa content nzuri. Mtoto aliemaliza elimu ya msingi Kenya ana uwezo wa kufanya mtihani wa form 4 na bado asipate div 0, sababu syllabus ya Kenya ina-cover vitu vingi katika primary school stage.
Kwa wenye experience naombeni ushauri. Taratibu za Mtanzania kusoma shule za Kenya ukoje, maisha ya boarding schools za Kenya yakoje kwa mtoto mdogo na shule zipi ni nzuri huko Kenya na zenye gharama nafuu mtu mwenye kipato cha kati anamudu.
Nimeamua kumpora mwanangu haki yake ya kuishi na mimi mwaka mzima kila siku kwa ajili ya future yake kuwa nzuri maana elimu yetu haieleweki na bongo shule zinazotoa elimu nzuri ni chache na ada zake ni kubwa sana na sana. Nimewaza akapate sylabus yenye content nzuri Kenya elimu ya msingi halafu sekondari ndiyo asome Tanzania.
Nina mwanangu yupo darasa la 3 shule zetu hizi za kisasa, English medium za kati.
Nimepata wazo la kumuhamishia Kenya. Kumtafutia shule nje ya nchi ni ili apate elimu itakayomuwezesha kujikomboa.
English Medium za Tanzania hizi naona kama zimekuwa magumashi sana. Ada inapanda bila sababu za msingi, walimu wenyewe wanaofundisha watoto English hawaijui hiyo English, hivyo hata masomo mengine kama science, mathematics wanafundisha hovyo hovyo,, na mtoto akirudi mtaani anacheza na wenzake au anaongea Kiswahili muda wote na dada.
Kuna mtu kaniambia syllabus ya Primary School ya Kenya ndiyo the best in East Africa kwa content nzuri. Mtoto aliemaliza elimu ya msingi Kenya ana uwezo wa kufanya mtihani wa form 4 na bado asipate div 0, sababu syllabus ya Kenya ina-cover vitu vingi katika primary school stage.
Kwa wenye experience naombeni ushauri. Taratibu za Mtanzania kusoma shule za Kenya ukoje, maisha ya boarding schools za Kenya yakoje kwa mtoto mdogo na shule zipi ni nzuri huko Kenya na zenye gharama nafuu mtu mwenye kipato cha kati anamudu.
Nimeamua kumpora mwanangu haki yake ya kuishi na mimi mwaka mzima kila siku kwa ajili ya future yake kuwa nzuri maana elimu yetu haieleweki na bongo shule zinazotoa elimu nzuri ni chache na ada zake ni kubwa sana na sana. Nimewaza akapate sylabus yenye content nzuri Kenya elimu ya msingi halafu sekondari ndiyo asome Tanzania.