Ni wangapi wanakumbuka jina la mwalimu wa darasa la kwanza?

Mwl. Masudi (alikua mwanamke) mwalimu wa Darasa
Mwl. Tesha ( alikua mwanamke) huyu tulikua tunakabidhiwa kwake pindi mwalimu wetu alipokua anadharula

SHULE YA MSINGI TEMEKE
 
Mwalimu wangu wa Darasa alikuwa anaitwa mwalimu swai.Shule ya msingi Minazi Mirefu mwaka 1997.Alikuwa anatuuzia mpaka pipi na ndizi darasani halafu mwalimu mwingine akija anatuambia tusitafune
Hahhajahaj
 
Namkumbuka ila sitamtaja kwa sababu za kiusalama! Hasa nyakati hizi za watu waiojulikaa, naona wengine wanataja hadi majina ya shule na mwaka, exiting!
 
Mwalimu Assey, Majengo primary school Moshi kabla haijatenganishwa kuwa shule mbili tofauti.
She was a good teacher ever.

Naomba niseme kidogo wakuu..
Wakati nipo darasa lakwanza huyu mwalimu alianzisha kipindi cha kusoma yaani anakuja na kitabu kimoja anakiweka dawati la mbele then mnaanza kusoma mmoja mmoja akiona unajua kusoma anakwambia Imetosha.
Sasa basi wakati huo sijaweza kusoma vizuri bado nabahatisha herufi, tukasimama kwenye line as usual mbele yangu akawa dent yeye anajua kusoma basi nikamsikiliza kwa makini sana wakati anasoma anzia mwanzo hadi alipoambiwa Inatosha.
Ilipofika zamu yangu nikaenda kwa mbwembwe nyingi sababu nilikariri alichokisoma dent aliepita, lahaulah!! Nikaanza kusoma kwa mbwembwe kwa kurudia maneno niliyokariri bila kujua niliaza na yale aliyosema mwishoni because yalikua yananijia kwa haraka, mwalimu Assey nae akaniacha kwa muda mrefu niendelee namimi najiona nipo sahihi kabisa tena nafanya vizuri kumbe ananichora tu na uongo wangu, nahisi uongo ulipozidi akaona huyu dogo analeta mzaha kazini.
Asee! Baada ya hapo kilichonikuta sitakaa nisahau and week kama mbili tu nikajua kusoma vizuri kabisa and up to now I'm genious.

Sorry guys najua nipo nje kidogo ya mada.
 
Matondoro ,primaly ,mwl jeni,adhabu yake ni vimbo za vigimbi nyuma ya magoti, msabaha,chales,saidi,bana,mwairunga, dah , matecher walikuwa powa, korogwe hiyo.
 
Mwalimu Assey, Majengo primary school Moshi kabla haijatenganishwa kuwa shule mbili tofauti.
She was a good teacher ever.

Naomba niseme kidogo wakuu..
Wakati nipo darasa lakwanza huyu mwalimu alianzisha kipindi cha kusoma yaani anakuja na kitabu kimoja anakiweka dawati la mbele then mnaanza kusoma mmoja mmoja akiona unajua kusoma anakwambia Imetosha.
Sasa basi wakati huo sijaweza kusoma vizuri bado nabahatisha herufi, tukasimama kwenye line as usual mbele yangu akawa dent yeye anajua kusoma basi nikamsikiliza kwa makini sana wakati anasoma anzia mwanzo hadi alipoambiwa Inatosha.
Ilipofika zamu yangu nikaenda kwa mbwembwe nyingi sababu nilikariri alichokisoma dent aliepita, lahaulah!! Nikaanza kusoma kwa mbwembwe kwa kurudia maneno niliyokariri bila kujua niliaza na yale aliyosema mwishoni because yalikua yananijia kwa haraka, mwalimu Assey nae akaniacha kwa muda mrefu niendelee namimi najiona nipo sahihi kabisa tena nafanya vizuri kumbe ananichora tu na uongo wangu, nahisi uongo ulipozidi akaona huyu dogo analeta mzaha kazini.
Asee! Baada ya hapo kilichonikuta sitakaa nisahau and week kama mbili tu nikajua kusoma vizuri kabisa and up to now I'm genious.

Sorry guys najua nipo nje kidogo ya mada.
Wee kiboko
 
Back
Top Bottom