Ni wakati wa Wabongo kuacha malezi ya kijinga kwa watoto, tunalipeleka wapi taifa?

Mkulungwa01

JF-Expert Member
Jul 14, 2021
3,979
5,295
Japo ni usiku ila nimewiwa kuandika bandiko hili. Kuhusu afya mimi ni mzima na natumai wanajamvi ni wazima pia. Haya nakwenda kwenye lengo

Nimewahi kuishi mitaa mingi ya uswshilini Dar wakati fulani, malezi ni mabovu mno kwa watoto.

Akina mama hawana lugha rafiki na zenye staha kwa watoto ambao tunaamini ni wepesi mno kushika maneno.

Lugha hizi zimezoeleka maeneo karibu yote ya uswazi kwa hapa Dar, dhidi ya watoto kutoka kwa akina mama

"We' f@la hebu njoo uoge, lione mat@ko kama baba yako".

"Mimi nakwenda vikoba sasa we' lete p#mbu zako unikute nimesharudi utaona".

Pia hawana aibu kabisa hawa akina mama kwa watoto wao

" lione ka' linaf#rwa hivi"(kauli hii akimuambia baba mbele ya mtoto.

Akina mama kwa asilimia kubwa na akina baba wamechangia kuharibu kizazi cha watoto wa sasa.

Mtoto wa kiume miaka 6(kwa Dar) ya kuanza shule ila;

★Anajua lugha zote za matusi na za kihuni.
★Hana staha wakati wa kuongea na anajiamini kupita kiasi.
★Hana ethics za ulaji, anakula hovyo hovyo.
★Hajui na hana hata idea na vitu vya msingi kama vile kusoma saa ya mshale na kutunza muda.
★Hana hata idea ya kujaribu kufunga tie na kuchomekea n.k

Hili limepelekea kwa kiasi fulani kuongezeka kwa umasikini wa TZ kwa kuzalisha kizazi cha vitoto vipuuzi.

Je, mwanao wa miaka 6:

★Anajua kula vizuri na kufuata ethics za ulaji japo kwa 50%?

★Ana idea hata ya kutunza muda?

★Anajua hata kidogo kuchambua hoja ndogo tu za masuala yanayomuhusu, au anajua kuchambua singeli na kukatika mauno?
★Anajua au ana idea hata kidogo ya kuuliza maswali yenye logic kwa umri wake?
★Ana staha na heshima binafsi kwake na kwa watu?

Jitathmini unatengeneza mtoto wa aina gani.

Mimi nalala!
 
Hivi kama mwanaume, unawezaje kufanya maamuzi magumu ya kuishi na mwanamke mpumbavu asiye na staha mdomoni? Kosa ni la mume kuchagua kuishi na mbwatukaji, mtu antakayehusika kulea watoto wako lazima awe na vigezo stahiki.
 
Japo ni usiku ila nimewiwa kuandika bandiko hili. Kuhusu afya mimi ni mzima na natumai wanajamvi ni wazima pia. Haya nakwenda kwenye lengo

Nimewahi kuishi mitaa mingi ya uswshilini Dar wakati fulani, malezi ni mabovu mno kwa watoto.

Akina mama hawana lugha rafiki na zenye staha kwa watoto ambao tunaamini ni wepesi mno kushika maneno.

Lugha hizi zimezoeleka maeneo karibu yote ya uswazi kwa hapa Dar, dhidi ya watoto kutoka kwa akina mama

"We' f@la hebu njoo uoge, lione mat@ko kama baba yako".

"Mimi nakwenda vikoba sasa we' lete p#mbu zako unikute nimesharudi utaona".

Pia hawana aibu kabisa hawa akina mama kwa watoto wao

" lione ka' linaf#rwa hivi"(kauli hii akimuambia baba mbele ya mtoto.

Akina mama kwa asilimia kubwa na akina baba wamechangia kuharibu kizazi cha watoto wa sasa.

Mtoto wa kiume miaka 6(kwa Dar) ya kuanza shule ila;

★Anajua lugha zote za matusi na za kihuni.
★Hana staha wakati wa kuongea na anajiamini kupita kiasi.
★Hana ethics za ulaji, anakula hovyo hovyo.
★Hajui na hana hata idea na vitu vya msingi kama vile kusoma saa ya mshale na kutunza muda.
★Hana hata idea ya kujaribu kufunga tie na kuchomekea n.k

Hili limepelekea kwa kiasi fulani kuongezeka kwa umasikini wa TZ kwa kuzalisha kizazi cha vitoto vipuuzi.

Je, mwanao wa miaka 6:

★Anajua kula vizuri na kufuata ethics za ulaji japo kwa 50%?

★Ana idea hata ya kutunza muda?

★Anajua hata kidogo kuchambua hoja ndogo tu za masuala yanayomuhusu, au anajua kuchambua singeli na kukatika mauno?
★Anajua au ana idea hata kidogo ya kuuliza maswali yenye logic kwa umri wake?
★Ana staha na heshima binafsi kwake na kwa watu?

Jitathmini unatengeneza mtoto wa aina gani.

Mimi nalala!
Nakubaliana na mtoa mada... Sisi wazazi wa kipindi hiki tumekuwa waharibifu wa kwanza was watoto wetu. Inabidi tubadilike Kwa kweli. Changamoto nyingine ya malezi ni ya kulea mtoto ukiwa mzazi mmoja. Watoto wanatakiwa walelewe na wazazi wawili. Sasa miaka hii mara nyingi kina baba wakishaweka mimba wanatokomea. Mtoto analelewa mazingira ya ajabu.
 
Miongoni mwa haki za mtoto ni kumtafutia Baba/mama Bora.....Ila hususan mama, manake mama ni shule/chuo....mtoto anajifunza mengi kutoka Kwa mama.
Kwa hiyo tuanzie hapo kujirekebisha, tusiongozwe na ashki katika kuchagua wenza, jiulize huyu anafaa kuwa shule ya watoto wangu?
 
Hivi kama mwanaume, unawezaje kufanya maamuzi magumu ya kuishi na mwanamke mpumbavu asiye na staha mdomoni? Kosa ni la mume kuchagua kuishi na mbwatukaji, mtu antakayehusika kulea watoto wako lazima awe na vigezo stahiki.
Kabisa, na ndilo nililofanya mimi.
 
Aisee dar kumeshindikana yaan uswaz mtoto anamuona mama anasaula kwenye "kigoma cha Uruguay" mixer mitusi ya kumwaga hapo maadili yatatokea WAP??

Halafu tutakuja kusema wazungu wanatunyonya
Hawa watu na wish nije kuwa RC wa Dar, nitachapa viboko sana.
 
Back
Top Bottom