Ni wakati wa Vodacom kutumbuliwa,wamezidi kututapeli

sindano butu

JF-Expert Member
Aug 20, 2012
503
157
naandika kwa uchungu jinsi gani vodacom walivonitapeli.Tarehe 1/7/2016 nililipia kingamuzi 20000 lakini muamala hukufanikiwa. sasa cha ajabu hela wamenikata lakini ela haijaenda startimes.Okey nimewapigia simu kupitia huduma wateja,Wananiambia niendelehe kusibiria na sasa inaenda wiki tatu.Hivi kweli wakati huu wa HAPA KASI TUUH unamcheleweshea mtu hela yake. Au labda MNAWEKA KASI TUUH KWENYE KUKATA WATU HELA. Lakini voda mkiendelea hivi na hulka yenu mtatumbuliwa kama alivotumbuliwa dr mwaka.
 
Sio we we ndugu yangu hata Mimi wamenitapeli shilling 30,000/= nilifanya malipo tarehe 12-07-2016 kwenda Bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu,pesa wamekata na code hawajatuma wala hata meseji ya kuthibitisha malipo niliyofanya haijaja.
Nimewapigia wanasema pesa bado iko hewani,watanirudishia nisubiri masaa 72 lakini hii siku ya nne hawajarudisha na hawana wasiwasi.
Kweli hawa VODACOM wameamua kufanya utapeli .
 
.Nami nilipata tatizo hilo nilipokua nanunua umeme 25/06/2016 mpaka sasa umeme huo sijapata wala pesa haijarejeshwa. walishawaikunitumia ujumbe tatizo langu linasshughilikiwa na nilipouliza baada ya siku nne toka nifanye malipo hayo nilijibiwa itachukua siku saba zilipopita siku zaidi ya hizo saba walinijibu wakiwa tayari pesa itarejeshwa. Naendelea kutumia uduma hii kwa mashaka makubwa kwani majibu vao hayaaminiki kabisa. ni kama unaweka hela kwenye mfuko wenye tobo.
 
Sio we we ndugu yangu hata Mimi wamenitapeli shilling 30,000/= nilifanya malipo tarehe 12-07-2016 kwenda Bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu,pesa wamekata na code hawajatuma wala hata meseji ya kuthibitisha malipo niliyofanya haijaja.
Nimewapigia wanasema pesa bado iko hewani,watanirudishia nisubiri masaa 72 lakini hii siku ya nne hawajarudisha na hawana wasiwasi.
Kweli hawa VODACOM wameamua kufanya utapeli .
Pole sana ndugu yangu kwayaliyokukuta nadhani wakipata huruma kurudisha hela tuhame vodacom. Nadhani tuliingia mkenge kwa kujiunga vodacom na lile tangazo lao la HAPA KASI TUUH.Najuta sana kumbe VODACOM HAPA KASI TUUH wanamaanisha HAPA KASI KUKATA HELA
 
naandika kwa uchungu jinsi gani vodacom walivonitapeli.Tarehe 1/7/2016 nililipia kingamuzi 20000 lakini muamala hukufanikiwa. sasa cha ajabu hela wamenikata lakini ela haijaenda startimes.Okey nimewapigia simu kupitia huduma wateja,Wananiambia niendelehe kusibiria na sasa inaenda wiki tatu.Hivi kweli wakati huu wa HAPA KASI TUUH unamcheleweshea mtu hela yake. Au labda MNAWEKA KASI TUUH KWENYE KUKATA WATU HELA. Lakini voda mkiendelea hivi na hulka yenu mtatumbuliwa kama alivotumbuliwa dr mwaka.
Mkuu hawa hawafai sasa hiv. Juz kuna mtu alinunua kifurushi cha data cha 1000. Hela wamekata kifurushi hawajampa mpaka kaamua kupotezea tu. Mwaka jana mwez wa 3 tulinunua unit za luku cha 10000 lkn mpaka leo hawajatuma unit. Tuliwapigia wanadai hela ipo hewan. Hawa jamaa hawafai kbsa. Mm niliuama tangia mwaka jana mwez wa 4, nikaenda tigo na sasa nipo airtel.
Wameshakuwa wez siku hiz. Mm nishauama siku nying nipo airtel
 
Mkuu hawa hawafai sasa hiv. Juz kuna mtu alinunua kifurushi cha data cha 1000. Hela wamekata kifurushi hawajampa mpaka kaamua kupotezea tu. Mwaka jana mwez wa 3 tulinunua unit za luku cha 10000 lkn mpaka leo hawajatuma unit. Tuliwapigia wanadai hela ipo hewan. Hawa jamaa hawafai kbsa. Mm niliuama tangia mwaka jana mwez wa 4, nikaenda tigo na sasa nipo airtel.
Wameshakuwa wez siku hiz. Mm nishauama siku nying nipo airtel
Mimi walinishangaza waliponiibia muda wa hewani pale nilipoweka tu! Nilipowapigia wakaniambia nilikuwa na-chat na mtu na wakaitaja namba niliyokuwa na-chat nayo. Nilipowaambia hiyo namba mnayoisema ni yangu mwenyewe naimiliki pia na nikawaeleza jinsi ninavyoitumia wakabaki kujiumauma tu.
 
Mimi walinishangaza waliponiibia muda wa hewani pale nilipoweka tu! Nilipowapigia wakaniambia nilikuwa na-chat na mtu na wakaitaja namba niliyokuwa na-chat nayo. Nilipowaambia hiyo namba mnayoisema ni yangu mwenyewe naimiliki pia na nikawaeleza jinsi ninavyoitumia wakabaki kujiumauma tu.
halafu hawa hawana majibu ya kuridhisha kbs. Yanakatisha tamaa. Sasa hiv kila mtu anaulalamikia huu mtandao. Tunakoelekea watakosa watu kbsa
 
hilo tatizo hata mie nililipata nilivyonunua luku ila jana wamenitumia token ilikua kwa kuwasumbua sana niliwa Dm kwenye twitter
 
Pelekeni malalamiko yenu TCRA ndiye mdhibiti wa mawasiliano na yatafanyiwa kazi.

MIMI NDO NINALIA. NINAPATA AIRTIME YA POST PAID KUTOKA KAMPUNI YANGU. SASA UKIINGIZ KUANGALIA SALIO LA KIFURI KWA KUANDIKA *149*01# HALAFU UKAENDA INTERGRTAED SMART BUNDLES HALAFU UKAENDA BANDLO ZA MWEZI HALAFU UKAGONGA KUANGALIA SALIO BASI WAO WATAKULAZIMISHA KUNUNA TALK BUNDLE YA ELF 50 KWA MWEZI . nA UKIANGALIA SALIO LA INTERNATE BUNDLE BAS WAO WATALAZIMISHA KUNUNU BUNDLE YA MWEZI YA INTERNATE YA SH 10,000 MPAKA 20,000. nIKO mOROGORO NA NIMEENDA vODA SHOP WANABAKI KUNIAMBIA MIE NDO LAZIMA NIMEKOSEA KUNUNUA OPTIONS. kWA SASA NINADAKIKA 700 KWA AJILI YA MWEZI MMOJA NA NI NA BUNDLE 5 gb KWA MWEZI. HAYA MATUMIZI TUMALAZI,ISHWA KUNUNUA BILA KUTAKA.

PIA UKIHAMISHA PESA KUTOKA NMB KUJA MPESA... ILE PESA UTAAMBIWA UENDE ATM UKATOE KWA KUTUMIA NAMBA YA SIRI WALIOKUPA.UKIWA HUKO VIJIJINI AMBAPO HAKUNA BENK NA ATMA BASI UNAKUWA UMEPOTEZA. HALI NI MBAYA SANA WATANZANIA WANAIBIWA NA VODACOMU KULIKO MAELEZO. HADI SASA VODACOM HAWAJATOA HATA TAMKO LA KUKIRI SHIDA ZINAZOJITOKE. TACRA NAO NAHISI WANAHONGWA KWANI HADI HIVI SASA HAWAJATOA TAMKO LA KULINDA WALAJI LICHA YA MALALAMIKO KUWA MAKUBWA
 
Mimi pia ni muhanga wa tatzo hili kusema kweli Voda wanazingua sana ' inaenda kukamilika wiki sasa tangu nitoe pesa kwa wakala na kwa bahati mbaya nikawa nmekosea namba 1 na pesa ikaenda kwa wakala mwingine,, nikawa nmewapigia wakanambia baada ya masaa 72 itarudi lakini mpaka leo cjaona ujumbe wowote " kiufupi Voda mnaboa sana hebu fikiria hapo kwa mfano ndo una mgonjwa..... Jirekebisheni jamani
 
Walianzisha na uzi humu, walipoona maswali hayajibiki na watu tunataka kufafanuliwa kuhusu huu ujizi wao wakala kona. Ila kiukweli Vodacom ni WEZI mfano hakuna.

Mamlaka inayotakiwa kutulinda ipo busy na siasa. Vodacom wenyewe ni kampuni kubwa na wanafahamu kabisa malalamiko ya mteja mmoja mmoja kama hivi ni kama kelele za chura kwa tembo. Wataendelea na mizengwe yao na wanajua mtakuja tu, hakuna pa kulilia. La msingi kila achokaye ahame kimya kimya, na siku wakigundua umuhimu wa sisi wanaotufanyia uhuni itakuwa too late.
 
Pelekeni malalamiko yenu TCRA ndiye mdhibiti wa mawasiliano na yatafanyiwa kazi.
Hatuna imani na TCRA nji maana shida zetu haziishi. Nahisi TCRA na VODACOM lao moja UBEPARI WA KASI. Yaani bora kulalamikia humu ndani MAANA MTUMBUAJI HUWA ANASOMA.
 
Tatizo linalo nikera kuliko yoote ni maneno yao yasiyo Na moja wala mbili,eti ukiwapigia wanakuambia ipo hewani kwani hewani ndio wapi huko tukadai hela zetu? Au nao wanakwendaga hewani kama akina mama wanavoendaga hewani kila mwezi
 
Kweli hali imekuwa ngumu! Mpaka VodaCom wanamuibia maskini?

Magufuli akikaza tena kidogo watu wataanza kujiibia wenyewe
Mimi juzi tu nimejiibia kalaptop kangu nikaenda kukauza kwa bei ya kutupa
 
Back
Top Bottom