Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,019
- 21,913
Kila mmoja ni shahidi kwa ili liliotea leo. Sisi kama taifa tuna safari ndefu kufikia mafanikio ambayo kila mtu anatamani kuyaona. Inatafakarisha tunataka kwenda mbele ikiwa vyanzo vinavyoweza kutupeleka mbele ni dhaifu.
Leo hii serikali kupitia wadau wa michezo wanaweza kuchangishana fedha kuhakikisha timu yetu inashinda ili isonge mbele. Ni nyema. tunasahau kwamba nyuma ya mafanikio kuna uwekezaji. Kama tunaweza changishana kufikia kiasi cha billion shilingi tunahishindwa vipi kuwekeza katika miundo mbinu ya mchezo wetu mfano viwanja.
Huwezi ukawa na wachezaji wanaocheza katika mazingira mabovu kupitia ligi yetu.wachezaji wanaofahamu kupiga pasi kumi ni kosa kisa mazingira ya uwanjani. Tuwekeze kwenye miundo mbinu itawajengea wachezaji uwezo na hali ya kua bora na siyo kukimbia ovyo kama wako majarubani kuogopa mdudu kamasi.
Kama maombi yangekua yanacheza hakuna taifa lingejikita kujenga mazingira wezeshi kuanzia vijana hadi wakubwa. Kama hamasa ingekua inacheza hakuna timu iliyonyumbani ingefungwa hii dunia
Tuache siasa za mpira ni chanzo za kutugawa pia. Safari ya kuvuka kundi ili ni ngumu sana.
Leo hii serikali kupitia wadau wa michezo wanaweza kuchangishana fedha kuhakikisha timu yetu inashinda ili isonge mbele. Ni nyema. tunasahau kwamba nyuma ya mafanikio kuna uwekezaji. Kama tunaweza changishana kufikia kiasi cha billion shilingi tunahishindwa vipi kuwekeza katika miundo mbinu ya mchezo wetu mfano viwanja.
Huwezi ukawa na wachezaji wanaocheza katika mazingira mabovu kupitia ligi yetu.wachezaji wanaofahamu kupiga pasi kumi ni kosa kisa mazingira ya uwanjani. Tuwekeze kwenye miundo mbinu itawajengea wachezaji uwezo na hali ya kua bora na siyo kukimbia ovyo kama wako majarubani kuogopa mdudu kamasi.
Kama maombi yangekua yanacheza hakuna taifa lingejikita kujenga mazingira wezeshi kuanzia vijana hadi wakubwa. Kama hamasa ingekua inacheza hakuna timu iliyonyumbani ingefungwa hii dunia
Tuache siasa za mpira ni chanzo za kutugawa pia. Safari ya kuvuka kundi ili ni ngumu sana.