konda msafi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2018
- 1,666
- 8,582
- Thread starter
- #21
Nimemwambia jamaa hajasoma bandiko langu bali amekurupuka tu kucoment maana kwenye bandiko nimeelezea hatua kwa hatua hata layman anaweza kunielewa.Rais wa nchi ni mmoja kati ya top policy makers. Foreign trade policies za hapa kwetu (ambazo zimebana zaidi importation ya bidhaa kama alizotaja mleta mada) zina impact kubwa kutokana na kuathiri supply na bei ya bidhaa za viwandani na mashambani.
Hivi wewe kwakuwa huelewi kitu unakimbilia kuchangia mada ya kisomi kwa ushabiki wa kijiweni.
Inabidi uelewe kuwa matamko ya kisiasa ya athari katika nyanja mbalimbali ikiwemo za kiuchumi, kijamii n.k.
Pia unatakiwa ujue kuwa hizi policies huwa zinafanyiwa amendments kila baada ya muda ili kuangalia feasibility yake kuendana na wakati husika.