Tangu aapishwe sijui kama kapumzika.
Imekuwa kila siku Rais Azindua.....Rais Atembelea mradi.... Duh!!!!!!!!
Afya ya Rais ni Muhimu.
- Leo anazindua Mdahalo wa miaka 100 ya Nyerere....Kibaha.
- Jana alikuwa anazindua Sensa......Dar.
- Juzi alikuwa anazindua usafirishaji mama mjamzito....
- Juzi alihudhuria kumbukumbu ya Karume....Zanzibar,
- Juzi alikuwa Zanzibar Anafuturisha....
- Majuzi Rais alikuwa anagawa pikipiki 7000 za Mpango kazi kilimo....
- Majuzi alikuwa Dodoma aliapisha wateule......
- Majuzi Rais Samia alikuwa anazindua daraja la Tanzanite....Dar.
- Majuzi ile alikuwa ikulu akipokea ripoti ya task force...
- Majuzi tena alikuwa Dodoma akifungua Mkutano wa Maridhiano....
- Ni juzi tu alikuwa Mlandizi akizindua Mradi maji....
- Juzi juzi tu rais alikuwa Dubai...
Imekuwa kila siku Rais Azindua.....Rais Atembelea mradi.... Duh!!!!!!!!
Afya ya Rais ni Muhimu.