Wanaoenda kupanga foleni ni kwamba wengi wao ni illiterate na hawajui walitendalo. Mtu unapoteza masaa matatu yote ukipigwa na jua bila sababu ya msingi? si bora mtu ukachanganye zege upate elfu tano ya kuwalisha watoto.Ila jamani tuacheni utani na tuwe serious, nani aende akapange foleni juani? Kwa lipi? Yaani mtu anapigana ulingoni mwenyewe halafu sisi tupige kura kuchagua mshindi?
Mbaya zaidi washindi wanajulikana tayari.....hata mie cwezi fanya ujinga huo tena!!Ila jamani tuacheni utani na tuwe serious, nani aende akapange foleni juani? Kwa lipi? Yaani mtu anapigana ulingoni mwenyewe halafu sisi tupige kura kuchagua mshindi?