monoclinic
JF-Expert Member
- Nov 15, 2013
- 262
- 321
mbona rahisi tu hapo.
kama mbowe kasema hiyo kauli atuwekee clip yake aliyoisikia na sisi tufaidike. .
kama mbowe kasema hiyo kauli atuwekee clip yake aliyoisikia na sisi tufaidike. .
kwani mange kasemaje?
Kumbe jina lako linamaanisha akili yako? Kwa hiyo ccm hata wakisimamisha mwenye akili ya kuku wananchi lazima wamchague? Kwani mkurugenzi anahusikaje na uteuzi ndani ya ccm?Ha ha ha...mmeishiwa hoja sasa.
Mkurugenzi asiyetekeleza wajibu wake ni wazi itaigharimu serikali na kufanya Upinzani ushinde.
Kwa kuwa watendaji wote wanatakiwa kutekeleza ilani ya ccm ni lazima wapambane kufa na kupona ili maendeleo yaonekane na ccm iendelee kushinda.
Wakurugenzi waliotangaza wapinzani kushinda kwenye maeneo yao ni wazi wametangaza udhaifu wa utendaji wao hadi kupelekea majimbo hayo kuwachoka CCM.
Hii ndio maana ya maneno ya Rais Magufuli.
Sasa lete hiyo clip iliyotamkwa kama unavyotaka kutuaminisha na iwe ni kipindi cha Uchaguzi.