RockCarnegie
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 963
- 1,927
Habari nɗugu wana JF
Ni ukweli kuwa ili nchi na taifa letu lisitawi linahitaji uongozi bora. Na uongozi wa taifa letu unapatikana kupitia chaguzi mɓalimɓali ili kupata viongozi wa vijiji na mitaa, maɗiwani, waɓunge na rais.
Maenɗeleo ya kiuchumi, kisiasa, kijamii tuliƴonaƴo ni picha halisi ƴa viongozi tuliotangaziwa na Tume yetu ya Uchaguzi kuwa wao nɗiƴo tuliowachagua.
Sisi wote ni mashaidi wa jinsi hali ƴa uchumi ilivƴo mbaƴa, ɗemokrasia na haki za binadamu zinavƴokanƴagwa nk. Haƴa ƴote ni matokeo ƴa viongozi tuliotangaziwa kuwa tumewachagua sisi.
Tunaelekea ƙwenƴe uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, muunɗo wa Tume ƴa Uchaguzi kwa asilimia ƙubwa unawapa uhakika viongozi wa sasa kuendelea ƙutawala hata kama wananchi watawakataa kwenƴe sanɗuku la kura.
Siku chache zilizopita Spiƙa wa Bunge alisiƙa akitoa kauli ƙuwa Zitto Kabwe hawezi kuwa Rais wa Tz, pia alimwambia John Heche kuwa hataruɗi ɓungeni awamu ijaƴo!
Kauli hizi si za bahati mbaya, ni ƙuwa kuna genge la watu waliojipanga kuamua ni nani awe rais, mbunge au ɗiwani wetu. Uchaguzi kwao ni namna ƴa ƙuiaminisha tu dunia kuwa tuna demokrasia kumbe ni uhuni.
Uchaguzi mƙuu uliopita na chaguzi nɗogo zilifuata baaɗaye ni uthibitisho tosha kuwa Tume ya Uchaguzi si huru hata kidogo!
Pamoja na juhuɗi kubwa inaƴofanƴwa na mwanademokrasia na mpigania haki za binadamu mahiri Mh. Tunɗu Lissu za kuiweka Tanzania katika uangalizi wa jicho la kimataifa, ɓado watanzania hawatakiwi kulala, ni wakati wa kuamka na kudai Tume Huru ƴa Uchaguzi ƙwa nguvu zaidi na mbinu mbalimɓali.
Jukumu hili ni la watanzania wote si la ƙuachiwa vƴama vƴa siasa pekee. Vƴama vƴa siasa vinaweza kutuongoza kufikia malengo.
Mbinƴo wa Jumuiya za kimataifa dhidi ƴa ukatili ukosefu wa haki za binadamu , demokrasia na utawala bora utakuwa na matokeo chanƴa pale tu tutakapotimiza wajiɓu wetu kuionƴesha ɗunia kuwa maouvu ƴanaƴotenɗeka, hatuyapenɗi na hatuƴataki.
Shime watanzania tudai Tume Huru ƴa Uchaguzi, wakati sasa.
No Easy Walk to Freeɗom!
Ni ukweli kuwa ili nchi na taifa letu lisitawi linahitaji uongozi bora. Na uongozi wa taifa letu unapatikana kupitia chaguzi mɓalimɓali ili kupata viongozi wa vijiji na mitaa, maɗiwani, waɓunge na rais.
Maenɗeleo ya kiuchumi, kisiasa, kijamii tuliƴonaƴo ni picha halisi ƴa viongozi tuliotangaziwa na Tume yetu ya Uchaguzi kuwa wao nɗiƴo tuliowachagua.
Sisi wote ni mashaidi wa jinsi hali ƴa uchumi ilivƴo mbaƴa, ɗemokrasia na haki za binadamu zinavƴokanƴagwa nk. Haƴa ƴote ni matokeo ƴa viongozi tuliotangaziwa kuwa tumewachagua sisi.
Tunaelekea ƙwenƴe uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, muunɗo wa Tume ƴa Uchaguzi kwa asilimia ƙubwa unawapa uhakika viongozi wa sasa kuendelea ƙutawala hata kama wananchi watawakataa kwenƴe sanɗuku la kura.
Siku chache zilizopita Spiƙa wa Bunge alisiƙa akitoa kauli ƙuwa Zitto Kabwe hawezi kuwa Rais wa Tz, pia alimwambia John Heche kuwa hataruɗi ɓungeni awamu ijaƴo!
Kauli hizi si za bahati mbaya, ni ƙuwa kuna genge la watu waliojipanga kuamua ni nani awe rais, mbunge au ɗiwani wetu. Uchaguzi kwao ni namna ƴa ƙuiaminisha tu dunia kuwa tuna demokrasia kumbe ni uhuni.
Uchaguzi mƙuu uliopita na chaguzi nɗogo zilifuata baaɗaye ni uthibitisho tosha kuwa Tume ya Uchaguzi si huru hata kidogo!
Pamoja na juhuɗi kubwa inaƴofanƴwa na mwanademokrasia na mpigania haki za binadamu mahiri Mh. Tunɗu Lissu za kuiweka Tanzania katika uangalizi wa jicho la kimataifa, ɓado watanzania hawatakiwi kulala, ni wakati wa kuamka na kudai Tume Huru ƴa Uchaguzi ƙwa nguvu zaidi na mbinu mbalimɓali.
Jukumu hili ni la watanzania wote si la ƙuachiwa vƴama vƴa siasa pekee. Vƴama vƴa siasa vinaweza kutuongoza kufikia malengo.
Mbinƴo wa Jumuiya za kimataifa dhidi ƴa ukatili ukosefu wa haki za binadamu , demokrasia na utawala bora utakuwa na matokeo chanƴa pale tu tutakapotimiza wajiɓu wetu kuionƴesha ɗunia kuwa maouvu ƴanaƴotenɗeka, hatuyapenɗi na hatuƴataki.
Shime watanzania tudai Tume Huru ƴa Uchaguzi, wakati sasa.
No Easy Walk to Freeɗom!