Ni wakati sasa wa kumuangukia Ridhiwan Kikwete na kumfikiria kwenye nafasi za juu hapo baadaye?

Huwa hawatosheko hawa sababu ya tamaa!! Huoni baba yake ingawa ana majumba Msoga, Dodoma,Bagamoyo. Dar es salaam bado akatukamua walipa kodi tumjegee nyumba nyingine kwa vile walijiwekea kuwa wajengewe wakistaafu!! Ni uroho tu hawatosheki!
Mzee ashaakua waziri 88 to 2005
Rais 05 mpaka 15 Hadi leo familia haijatosheka na pesa, mke Ni mbunge mtoto Ni mbunge.
Si wawaachie na wengine, mnakaba Hadi Kona?
 
Ijumaa khareem,

Kwaunyenyekevu mkubwa naomba kuwarejesha awamu ya nne Pale tulipoambiwa kuwa Mtoto wa Rais wa Tanzania wakati huo Mhe Jakaya Mrisho Kikwete, Ridhiwani Kikwete amekamatwa huko Hong Kong China akifanya biashara ya madawa ya kulevya,

Kwakuwa sheria za Nchini China ukiiondoa Beijing mtu yeyote akikamatwa na madawa ya kulevya hukumu yake ni kunyongwa mpaka kufa na kuna mamia ya Watanzania wamenyongwa nchini China sote ni mashahidi wa hili "Watanzania tukashangaa huyu mtoto wa Rais anakosa nini kwa baba yake mpaka abebe unga tena yeye mwenyewe mpaka China?!! "

Tukaambiwa baada ya Ridhiwani Kikwete Mtoto wa Rais wetu kukamatwa na kutakiwa kunyongwa mpaka kufa baba yake Mzee Jakaya Mrisho Kikwete akiwa Rais wa awamu ya nne akafanya makubaliano na mamlaka za China zisimnyonge mwanae Ridhiwani Kikwete na badala yake atawapa gesi yote ya Mtwara inayofikia 57.7tct jambo ambalo walilidhia na ushahidi ni kwamba Ridhiwani yuko hai hata leo,

Awamu iliyopita tukaambiwa Mtwara gesi yote ilishauzwa kwa Mabeberu na mambo yaliyofanyika huko Si-yakizalendo kabisa hivyo tuwekeze nguvu kwenye JHNPP ilikujipatia Umeme wa uhakika nchini,Mimi akili yangu kwa haraka ika 'Click ' ni ule mchongo wa Mzee Jakaya kwa Ridhiwani na Wachina hakika moyo Wangu ukamchukia Mzee Jakaya na Mwanae Ridhiwani kwa kutaifisha gesi yetu Chaajabu baadae kidogo tukamsikia aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Paul Makonda akimtaja tena Ridhiwani Kikwete kwamba ni mwanamtandao wa wauza madawa ya kulevya ( Unga ) Tanzania naamini hili sakata sote tunalikumbuka binafsi nikazidi kuichukia familia ya Mzee Jakaya na Dk Jakaya mwenyewe kwa dhuluma kubwa waliolifanyia Taifa hili,Mungu nisamehe Mimi na Wale walioumizwa kama Mimi kwa uongo

Leo nikaribu mwongo mmoja umepita tunaambiwa mazungumzo baina ya Serikali ya Tanzania na Makampuni ya Shell ya Uingereza na Uholanzi, ExxonMobil ya Marekani,Ophir ya Uingereza, Pavilion ya Singapore,Medco Energi ya Indonesia; na StatOil ( Equinox ) ya Norway wanaendelea na Host govnment agreement ( HGA ) ili wawekeze $30bl karibu Shilingi 69.5trilioni ili kuwekeza kwenye gesi ileile ya 57.7tct aliyoitoa Mzee Jakaya Mrisho Kikwete ili kumnusuru mwanae mpendwa Ridhiwani Kikwete muuza madawa,hakika nchi ngumu sana hii,

Mimi na wenzangu tunajiuliza gesi yetu yote Tanzania ilianza kugunduliwa tangu miaka ya 1974,1982 na ilipofika miaka ya 2000's ndio tukajua ujazo halisi wa gesi yetu kuwa ni Jumla ya futi za ujazo trilioni 57.7ctc ambazo zilikuwapo awamu ya kwanza hadi hii ya Sita ya Rais Samia Suluhu Hassan,

Najiuliza|Tunajiuliza,

1. Kama deposit ya gesi yetu yote imesalia kuwa ni 57.7tct tangu enzi za baba wa Taifa hadi leo zama za Mama Samia hiyo gesi aliyotoa Mzee Jakaya kumnusuru mwanae Ridhiwani asinyongwe hadi kufa ni ipi?

2. Kama nia ilikuwa kumchafua Mzee Jakaya wakati wa Utawala wake kwanini Ridhiwani aendelee kutajwa kwa ubaya hata awamu ambazo baba yake hakuwa madarakani?

JIBU NI MOJA TU :

Mhe Ridhiwani Kikwete ni kijana mnyenyekevu sana,Mchamungu,Mpole,Mtu wa bashasha wakati wote,Hana makundi,Mzalendo wa kweli,Asiyependa vyeo japo vyeo vinamtaka,na anayechukia rushwa kwa vitendo,Nimtu asiyependa mtu yeyote anyanyaswe akiwa ndani ya nchi yake,Nimtu anayefikiri juu ya Umoja wa Kitaifa ndio maana katika hotuba zake zote hakuwahi kusigana na Upinzani wala Wapinzani na nikijana aliyekulia na kulelewa na The core CCM yaani Ridhiwani ni CCM by blood,

Nimekumbuka usemi mmoja " mti wenye matunda ndio huchakazwa kwa mawe" ila muda ni mwalimu wa kweli leo Dunia imegundua Ukweli kuwa "Ridhiwani kinachomtesa nikile alichopewa na Mungu kwaajili ya kuwatumikia Watanzania hapo baadae" kwa dhati ya moyo wangu leo nimempenda na kumuheshimu sana Mzee Jakaya Kikwete pamoja na familia yake hii aliyeifunza Unyenyekevu na subra,Leo Mungu amewatetea pale mlipokaa kimya kwa kukosa mtetezi,

Nenda kasalimie msoga
 
Hawatosheki hawa na bado wanataka wawarishishe wajukuu zao hata kama wana vichwa vya nazi!!!
Baba zao walikuwa wakuu wa kaya na sasa ni '' haki zao'' hawa watoto wa wafalme kuwa wafalme wa kaya, mchezo ulianza na baba shangazi, umekuja kwa ruksa na sasa utakuja kwa prince wetu, hawa hawatosheki! tukiwachekea na kuwadekeza hadi vitukuu vyao vitakuja kutawala vituu vyetu.
 
Baba zao walikuwa wakuu wa kaya na sasa ni '' haki zao'' hawa watoto wa wafalme kuwa wafalme wa kaya, mchezo ulianza na baba shangazi, umekuja kwa ruksa na sasa utakuja kwa prince wetu, hawa hawatosheki! tukiwachekea na kuwadekeza hadi vitukuu vyao vitakuja kutawala vituu vyetu.
Tatizo tukiaminiwa tunaharibu sana chief
 
Bandari ya Bagamoyo ni Mwendazake tu alitibua ndo maana Sasa inarudishwa kwa nguvu.
Kama issue ni kusingiziwa mbona kina Gwajima walitajwa mpaka kupekuliwa,walilipwa Nini?
Redhiwani hamjaridhika tu mlivyo ifisadi hi nchi? Unataka Cherie Tena?
Haitishi wewe na mama yako kuwa wabunge?na baba yako si ndo rais was Sasa?
Walimtaja kwa sababu zipi?
 
Ijumaa khareem,

Kwaunyenyekevu mkubwa naomba kuwarejesha awamu ya nne Pale tulipoambiwa kuwa Mtoto wa Rais wa Tanzania wakati huo Mhe Jakaya Mrisho Kikwete, Ridhiwani Kikwete amekamatwa huko Hong Kong China akifanya biashara ya madawa ya kulevya,

Kwakuwa sheria za Nchini China ukiiondoa Beijing mtu yeyote akikamatwa na madawa ya kulevya hukumu yake ni kunyongwa mpaka kufa na kuna mamia ya Watanzania wamenyongwa nchini China sote ni mashahidi wa hili "Watanzania tukashangaa huyu mtoto wa Rais anakosa nini kwa baba yake mpaka abebe unga tena yeye mwenyewe mpaka China?!! "

Tukaambiwa baada ya Ridhiwani Kikwete Mtoto wa Rais wetu kukamatwa na kutakiwa kunyongwa mpaka kufa baba yake Mzee Jakaya Mrisho Kikwete akiwa Rais wa awamu ya nne akafanya makubaliano na mamlaka za China zisimnyonge mwanae Ridhiwani Kikwete na badala yake atawapa gesi yote ya Mtwara inayofikia 57.7tct jambo ambalo walilidhia na ushahidi ni kwamba Ridhiwani yuko hai hata leo,

Awamu iliyopita tukaambiwa Mtwara gesi yote ilishauzwa kwa Mabeberu na mambo yaliyofanyika huko Si-yakizalendo kabisa hivyo tuwekeze nguvu kwenye JHNPP ilikujipatia Umeme wa uhakika nchini,Mimi akili yangu kwa haraka ika 'Click ' ni ule mchongo wa Mzee Jakaya kwa Ridhiwani na Wachina hakika moyo Wangu ukamchukia Mzee Jakaya na Mwanae Ridhiwani kwa kutaifisha gesi yetu Chaajabu baadae kidogo tukamsikia aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Paul Makonda akimtaja tena Ridhiwani Kikwete kwamba ni mwanamtandao wa wauza madawa ya kulevya ( Unga ) Tanzania naamini hili sakata sote tunalikumbuka binafsi nikazidi kuichukia familia ya Mzee Jakaya na Dk Jakaya mwenyewe kwa dhuluma kubwa waliolifanyia Taifa hili,Mungu nisamehe Mimi na Wale walioumizwa kama Mimi kwa uongo

Leo nikaribu mwongo mmoja umepita tunaambiwa mazungumzo baina ya Serikali ya Tanzania na Makampuni ya Shell ya Uingereza na Uholanzi, ExxonMobil ya Marekani,Ophir ya Uingereza, Pavilion ya Singapore,Medco Energi ya Indonesia; na StatOil ( Equinox ) ya Norway wanaendelea na Host govnment agreement ( HGA ) ili wawekeze $30bl karibu Shilingi 69.5trilioni ili kuwekeza kwenye gesi ileile ya 57.7tct aliyoitoa Mzee Jakaya Mrisho Kikwete ili kumnusuru mwanae mpendwa Ridhiwani Kikwete muuza madawa,hakika nchi ngumu sana hii,

Mimi na wenzangu tunajiuliza gesi yetu yote Tanzania ilianza kugunduliwa tangu miaka ya 1974,1982 na ilipofika miaka ya 2000's ndio tukajua ujazo halisi wa gesi yetu kuwa ni Jumla ya futi za ujazo trilioni 57.7ctc ambazo zilikuwapo awamu ya kwanza hadi hii ya Sita ya Rais Samia Suluhu Hassan,

Najiuliza|Tunajiuliza,

1. Kama deposit ya gesi yetu yote imesalia kuwa ni 57.7tct tangu enzi za baba wa Taifa hadi leo zama za Mama Samia hiyo gesi aliyotoa Mzee Jakaya kumnusuru mwanae Ridhiwani asinyongwe hadi kufa ni ipi?

2. Kama nia ilikuwa kumchafua Mzee Jakaya wakati wa Utawala wake kwanini Ridhiwani aendelee kutajwa kwa ubaya hata awamu ambazo baba yake hakuwa madarakani?

JIBU NI MOJA TU :

Mhe Ridhiwani Kikwete ni kijana mnyenyekevu sana,Mchamungu,Mpole,Mtu wa bashasha wakati wote,Hana makundi,Mzalendo wa kweli,Asiyependa vyeo japo vyeo vinamtaka,na anayechukia rushwa kwa vitendo,Nimtu asiyependa mtu yeyote anyanyaswe akiwa ndani ya nchi yake,Nimtu anayefikiri juu ya Umoja wa Kitaifa ndio maana katika hotuba zake zote hakuwahi kusigana na Upinzani wala Wapinzani na nikijana aliyekulia na kulelewa na The core CCM yaani Ridhiwani ni CCM by blood,

Nimekumbuka usemi mmoja " mti wenye matunda ndio huchakazwa kwa mawe" ila muda ni mwalimu wa kweli leo Dunia imegundua Ukweli kuwa "Ridhiwani kinachomtesa nikile alichopewa na Mungu kwaajili ya kuwatumikia Watanzania hapo baadae" kwa dhati ya moyo wangu leo nimempenda na kumuheshimu sana Mzee Jakaya Kikwete pamoja na familia yake hii aliyeifunza Unyenyekevu na subra,Leo Mungu amewatetea pale mlipokaa kimya kwa kukosa mtetezi,

Mimi nichadema ila mwamba katulia sana,Hana ushamba ushamba kabisa
 
Utendaji wake wa Kaz ndio utakao muinua na umma kumuona anafaa na s kuongea kwenye mitandao uonekane unafanya kazi

Mfano Kuna Prof sospeter muhongo na Dr dalali kafumu Hawa watu hawakuwah kuwa wanasiasa kabla ila utendaj wao uliotukuka ukamfanya Rais kikwete avutiwe nao na kuwapa ubunge na uwazir

Watanzania yujifunze kuchapa kazi kwa bidii tutaonekana tu
 
Utendaji wake wa Kaz ndio utakao muinua na umma kumuona anafaa na s kuongea kwenye mitandao uonekane unafanya kazi

Mfano Kuna Prof sospeter muhongo na Dr dalali kafumu Hawa watu hawakuwah kuwa wanasiasa kabla ila utendaj wao uliotukuka ukamfanya Rais kikwete avutiwe nao na kuwapa ubunge na uwazir

Watanzania yujifunze kuchapa kazi kwa bidii tutaonekana tu
Nadhani hakuna mbunge yoyote anayefanya ziara kwenye jimbo Lake kama huyu jamaa,
Hawa walioisingizia familia ya Kikwete imeuza gesi kwa mchina nao watafutwe
 
Back
Top Bottom