Mtu ukiweza kujisimamia mwenyewe kwenye maisha kutafuta riziki halali kwako na familia yako, hautalazimika kuishi maisha ya kumpamba yeyote ili uishi.
Anampamba mtu mwenye machicha ya nazi kichwani! Huyo hata rafiki zake wanamjua kuwa ni muuza ngada unajisumbua kumsafisha. Ni sawa na kutaka kuwaaminisha wananchi kuwa Baba yake hakuwa mbia wa biashara na HOME SHOPPING CENTRE!!! Hakuna mtu mwenye akili atakusikiliza.