kALEnga kidamali
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 542
- 733
Yaani jinsi ilivo changamoto ya kutamka jina la stiglas George kwa baadhi ya watanzania wenzetu hasa wale wa kawaida inaonyesha hili jina halina asili ya kitanzania hivyo basi, itakuwa busara endapo likibadilishwa jina liitwe jina la lenye asili ya utamaduni wetu linaweza likawa jina la kiongozi mashuhuli au hata eneo lililopo ili kila mtanzania ikifika hatua ya kutamka jina iwe rahisi lakini pia liwe kivutio cha utalii kwani litabeba maudhui ya kitanzania zaidi kuliko lilivo hivi sasa...
Nawasilisha...
Nawasilisha...