Ni wakati sasa Mh. Rais kutowatenga wapinzani

Uncle Jei Jei

JF-Expert Member
Jan 7, 2011
1,684
2,157
katika tamko la CHADEMA kuhusu makinikia, katibu mkuu wa chama hicho amemsihi Rais kusikiliza na kufanyia kazi baadhi ya ushauri kutoka kwa wapinzani
"2.3. Rais Magufuli hatafaulu vita hii kama Serikali yake itaendelea na utamaduni wa kutubagua na au kutosikiliza sauti za upande wa pili, ni vyema akajua kuwa hata Ilani ya Chama chake uk.26..28 haikuzungumzia kabisa hoja za mikataba na sheria za madini kuhitaji kurekebishwa au kuandikwa upya" .

Hakika hii ni kauli ambayo Mh. Rais hapaswi kuipuuza hasa ukizingatia mipasho ya wabunge pande zote wawapo bungeni! Nakumbuka enzi za Anna Makinda ilikuwa ikifika mijadala hot ya sheria (isiyo na maagzo lakini) ushauri wa Tundu Lissu aliuzingatia sana.

Rais akumbuke kuwa wabunge wengi wa chama chake hawawekezi muda wao mwingi katika kusoma nyaraka mbali mbali za serikali! hili unaweza kuliona wakiwa wanachangia mijadala mbali mbali huwa hawana rejea kama wafanyavyo wapinzani.​
 
kunamgodi flani walipigiana pasi waziri naprezdaa mstaaf mkaa hapa sijui walishtukiwa wakaurudisha!! Kunamajumba Pia hawa washkaji waliziuza na kujipigia mapasi...haya yawekwe wazi yoooote ili tupambane pamoja!
 
Hawa jamaa wamekwishaji-intoxicate na siasa za chuki. Waachwe waemdelee kujilisha sumu ya chuki za kisiasa. Kima watanzania wengi wa kushirikisha kwenye mambo nyeti ya kitaifa kama hili la Acacia.
 
kunamgodi flani walipigiana pasi waziri naprezdaa mstaaf mkaa hapa sijui walishtukiwa wakaurudisha!! Kunamajumba Pia hawa washkaji waliziuza na kujipigia mapasi...haya yawekwe wazi yoooote ili tupambane pamoja!
We need to focus our policy actions.
 
kabisa, kuna mtu aliwahi kusema kiongozi ukiwa mjanja sikiliza wanayosema watu halafu chambua baki na yaliyoonekana bora kisha yawekee msimamo
umesema vema huyu magu kama kweli anataka kuacha legacy nzuri,asikilize mawazo ya kutoka upande wa pili.
nilimsikiliza Obama alipokua akiwahotubia wakenya kuhusu vyama vingi.alisema kwamba wao kama chama kinaposhika hatamu chama mbadala hupiga kelele nyingi juu ya mambo mbalimbali wanachofanya ni kujaribu kurekebisha na kila wanaporekebisha chama mbadala kinazidi kutoa hoja.Obama alihitimisha kuwa mwisho wa siku serikali iliyopo madarakani inajikuta imejitahidi kufanyia kazi yale yote ya maana hivyo nchi inakua imesonga mbele.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom