Baada ya Simba kufungwa jana na wabotswana tumeona kauli za haraka haraka kutoka kwa viongozi wa Simba kuandika mambo ambayo mimi naweza sema ni upuuzi.
Kwa kuangalia comments za wapenzi wa soka wakijaribu kujaribu viongozi kwa ujinga walioandika (nimeweka baadhi hapo chini) nadhani ni wakati muafaka sasa wa kuondoa viongozi wa namna hii katika soka letu..wangejithimini wao kabla ya sisi wapenda soka kuwaondoa.
@moodewji
Wewe kaa kimya bwana. Raja msimu uliopita walitolewa champions league. Mazembe katolewa umemsikia katumbi analialia twitter. You are sending a very bad message. Hii inaenda kuua confidence ya kocha na wachezaji. Bado tuna mengi ya kupambania msimu huu na timu yetu ni nzuri.
Ulipoamua kuuza Best players na kununua average players ulikuwa unategemea nini? Unapanda mnazi unataka kuvuna njugu? Kati ya wachezaji wapya waliopo Simba nani ana kiwango cha Chama na Miquissone? WA KUULIZWA NI WEWE NA BODI..MLIAMUA KUZAMISHA TU MELI.
Replying to
@moodewji
Kwa kuwa imejiuzulu, usizungumzie suala lolote la Simba. Nyamaza na usilete mgogoro, TP mazembe mbona nao wametolewa na hatujasikia maneno maneno ya hovyo. Wakapambane huko shirikisho
Kwa kuangalia comments za wapenzi wa soka wakijaribu kujaribu viongozi kwa ujinga walioandika (nimeweka baadhi hapo chini) nadhani ni wakati muafaka sasa wa kuondoa viongozi wa namna hii katika soka letu..wangejithimini wao kabla ya sisi wapenda soka kuwaondoa.
@moodewji
Wewe kaa kimya bwana. Raja msimu uliopita walitolewa champions league. Mazembe katolewa umemsikia katumbi analialia twitter. You are sending a very bad message. Hii inaenda kuua confidence ya kocha na wachezaji. Bado tuna mengi ya kupambania msimu huu na timu yetu ni nzuri.
Ulipoamua kuuza Best players na kununua average players ulikuwa unategemea nini? Unapanda mnazi unataka kuvuna njugu? Kati ya wachezaji wapya waliopo Simba nani ana kiwango cha Chama na Miquissone? WA KUULIZWA NI WEWE NA BODI..MLIAMUA KUZAMISHA TU MELI.
Replying to
@moodewji
Kwa kuwa imejiuzulu, usizungumzie suala lolote la Simba. Nyamaza na usilete mgogoro, TP mazembe mbona nao wametolewa na hatujasikia maneno maneno ya hovyo. Wakapambane huko shirikisho