Kertel
JF-Expert Member
- May 11, 2012
- 5,268
- 4,973
hivi hujasikia sasa hivi imekua mpya?Tamaduni za zamani zimeachwaNakumbuka Siku za nyuma vikao vya ccm vilikuwa vinaweza kumhoji yeyote mwenye kadi ya chama. Nasema YEYOTE yule kama alikuwa anakwenda kinyume na Sera na desturi za chama hicho.
Jee jeuri hiyo imepotelea wapi?