N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 6,825
- 9,532
Ni aibu kwamba mji kama Dar, mji wa kibiashara hauna kabisa kamera za barabarani kwa ajili ya security surveillance.
Zanzibar mitaa mingi ina kamera, Nairobi mitaa mingi ina kamera.
■ Hata watalii wanajali sana usalama wao, kuwepo camera kutaongeza trust kwa tourists.
■ Wizi wa magari na mali nyingine kamera zitatoa majibu.
■ Uharibifu wa miundombinu kamera zitajibu hasa usiku.
■ Jinai kama mauaji, ubakaji nk kamera zitajibu.
■ Takwimu za idadi ya magari nk kamera zitasovu
Kwanini kamera haziwekwi?
Vitu vingine to be true ni vidogo sana, na ni aibu kwamba tunashindwa kuviweka Zanzibar tu hapo wana street cameras tangu 90s Dar na miji mingine nini kinakwaza kufunga hii teknolojia. Ifike pahala tuwaambie hawa Madiwani hatuwapi kura mpaka waje na mipango ya usalama kama huu na kufunga street lights etc.
Tumeona juzi jinsi zilivosaidia kupata details za ajali ya basi Moshi mjini, zikiwa zimefungwa na mtu binafsi aliejitolea tu! Pitisheni bajeti huko kamera zifungwe.
Mheshimiwa Rais tunaomba hili umuelekeze Waziri wa Mambo ya Ndani na wa Miundombinu walihakikishe linakamilika, tunakuamini kwenye uboreshaji miundombinu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Zanzibar mitaa mingi ina kamera, Nairobi mitaa mingi ina kamera.
■ Hata watalii wanajali sana usalama wao, kuwepo camera kutaongeza trust kwa tourists.
■ Wizi wa magari na mali nyingine kamera zitatoa majibu.
■ Uharibifu wa miundombinu kamera zitajibu hasa usiku.
■ Jinai kama mauaji, ubakaji nk kamera zitajibu.
■ Takwimu za idadi ya magari nk kamera zitasovu
Kwanini kamera haziwekwi?
Vitu vingine to be true ni vidogo sana, na ni aibu kwamba tunashindwa kuviweka Zanzibar tu hapo wana street cameras tangu 90s Dar na miji mingine nini kinakwaza kufunga hii teknolojia. Ifike pahala tuwaambie hawa Madiwani hatuwapi kura mpaka waje na mipango ya usalama kama huu na kufunga street lights etc.
Tumeona juzi jinsi zilivosaidia kupata details za ajali ya basi Moshi mjini, zikiwa zimefungwa na mtu binafsi aliejitolea tu! Pitisheni bajeti huko kamera zifungwe.
Mheshimiwa Rais tunaomba hili umuelekeze Waziri wa Mambo ya Ndani na wa Miundombinu walihakikishe linakamilika, tunakuamini kwenye uboreshaji miundombinu.
Sent using Jamii Forums mobile app