Medecin
JF-Expert Member
- Nov 29, 2011
- 7,893
- 21,297
Habari wanajamvi
Kutokana na maendeleo ya ugonjwa wa Covid-19 kwa upande wa bara kuonesha matokeo mazuri sana kwa sababu tangu tarehe 22 Aprili mwaka huu hakujaripotiwa kisa kipya angalau kimoja cha ugonjwa huu.
Je, ni sahihi sasa Serikali itangaze kufunguliwa kwa shule na vyuo? Pia itangaze sasa watu warejee maisha yao ya kawaida kwa kuchukua tahadhari kiasi za ugonjwa huu maana inaonekana ushauri wa Rais wetu genius wa kujifukiza umezaa matunda.
Mashuleni na vyuoni kuwekwe utaratibu wa kujifukiza kabla ya kuingia darasani pia kwenye daladala konda na dereva wahakikishe wana ndoo ya maji ya moto na mwarobaini ili kuwafukiza abiria.
Pia ni wakati sahihi wa Rais wetu kurudi toka likizo aliyojipa ili awe anajifukiza mwenyewe akiwa ikulu.
#Korona ni kaugonjwa kadogo!
#Tujifukize
Kutokana na maendeleo ya ugonjwa wa Covid-19 kwa upande wa bara kuonesha matokeo mazuri sana kwa sababu tangu tarehe 22 Aprili mwaka huu hakujaripotiwa kisa kipya angalau kimoja cha ugonjwa huu.
Je, ni sahihi sasa Serikali itangaze kufunguliwa kwa shule na vyuo? Pia itangaze sasa watu warejee maisha yao ya kawaida kwa kuchukua tahadhari kiasi za ugonjwa huu maana inaonekana ushauri wa Rais wetu genius wa kujifukiza umezaa matunda.
Mashuleni na vyuoni kuwekwe utaratibu wa kujifukiza kabla ya kuingia darasani pia kwenye daladala konda na dereva wahakikishe wana ndoo ya maji ya moto na mwarobaini ili kuwafukiza abiria.
Pia ni wakati sahihi wa Rais wetu kurudi toka likizo aliyojipa ili awe anajifukiza mwenyewe akiwa ikulu.
#Korona ni kaugonjwa kadogo!
#Tujifukize