Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,385
Ukifuatilia matamko ya Serikali ya Zanzibar baada ya huu ugonjwa wa Korona ni wazi kuwa Zanzibar inajitambua, inapenda wananchi wake na ina uwezo wa kuchukua hatua kwa akili na stahiki kulinganisha na huku bara.
Sasa sijui ilikwaje hadi wakaingia mkenge na kuingizwa kwenye ndoa na Tanganyika.
Sasa nadhani ni wakati wa visiwani kujitoa kwenye hii ndoa.
Inawakwamisha mengi sana na mungeshafika mbali.
Ni mawazo yangu:
Updates:
Baada ya kuanzisha huu uzi kuna jamaa wanajaribu ku hack account yangu.
Ila bora waje pm tuongee kwa sababu Hawataweza. Mimi ni JF kitambo na huwezi kuotea password yangu kindezi ndezi .
Pumbavu.
Sasa sijui ilikwaje hadi wakaingia mkenge na kuingizwa kwenye ndoa na Tanganyika.
Sasa nadhani ni wakati wa visiwani kujitoa kwenye hii ndoa.
Inawakwamisha mengi sana na mungeshafika mbali.
Ni mawazo yangu:
Updates:
Baada ya kuanzisha huu uzi kuna jamaa wanajaribu ku hack account yangu.
Ila bora waje pm tuongee kwa sababu Hawataweza. Mimi ni JF kitambo na huwezi kuotea password yangu kindezi ndezi .
Pumbavu.