Ni wakati muafaka UN kupeleka vikosi Afrika Kusini

ibanezafrica

JF-Expert Member
Oct 23, 2014
7,261
6,543
Kwa hali ilivyo ni muhimu sasa kwa umoja wa mataifa kupeleka vikosi katika miji mikubwa ya afrika kusini kulinda amani maana mgogoro huu unazidi kutanuka na kuzidisha chuki dhidi ya raia wa afrika kusini walio sehemu nyingi duniani hasa nchi za afrika

Clip iliosambaa inayomwonyesha mwanamke wa ki south alivyodhalilishwa huko mtaani Nigeria na kundi la wanaigeria mpaka kubaki mtupu ni la kuhuzunisha na kufedhehesha sana.

UN na AU wana kazi ya kufanya hapa kabla mambo hayajawa mabaya zaidi.
 
Kwa hali ilivyo ni muhimu sasa kwa umoja wa mataifa kupeleka vikosi katika miji mikubwa ya afrika kusini kulinda amani maana mgogoro huu unazidi kutanuka na kuzidisha chuki dhidi ya raia wa afrika kusini walio sehemu nyingi duniani hasa nchi za afrika
Clip iliosambaa inayomwonyesha mwanamke wa ki south alivyodhalilishwa huko mtaani Naigeria na kundi la wanaigeria mpaka kubaki mtupu ni la kuhuzunisha na kufedhehesha sana.
UN na AU wana kazi ya kufanya hapa kabla mambo hayajawa mabaya zaidi.
Wewe acha kua na akili pungufu, ishu ni kuishinikiza serikali ya SA ionyeshe nia ya Noo kwa raia wa south, sio kila kitu kulilia msaada wa UN bob,.
 
Kwa hali ilivyo ni muhimu sasa kwa umoja wa mataifa kupeleka vikosi katika miji mikubwa ya afrika kusini kulinda amani maana mgogoro huu unazidi kutanuka na kuzidisha chuki dhidi ya raia wa afrika kusini walio sehemu nyingi duniani hasa nchi za afrika
Clip iliosambaa inayomwonyesha mwanamke wa ki south alivyodhalilishwa huko mtaani Naigeria na kundi la wanaigeria mpaka kubaki mtupu ni la kuhuzunisha na kufedhehesha sana.
UN na AU wana kazi ya kufanya hapa kabla mambo hayajawa mabaya zaidi.
Weka hiyo clip hapa!
 
Inasikitisha sana waafrika tunavyouana kwa mambo ya kipumbavu!!! Na hii inaonyesha wazi ni kwa jinsi gani waafrika tulivyo na utindio wa ubongo kwenye medula oblongata zetu.

Yaani wazungu wanatuchora tu huku mioyoni mwao wakitamani watupe msaada wa mabom tulipuane mpaka tumalizane wenyewe kwa wenyewe maama**
 
Hii ndiyo vita ya uchumi anayoimba rais mteule wa SADC?! Afrika hatumjui adui yetu sasa tumeamua kuuana wenyewe kwa wenyewe.
 
Back
Top Bottom