Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,151
- 45,819
Acha huo ujinga wako haraka mkuu
Huna tofauti na wazaire walioaminishwa mobutu ndio Kila kitu,kaletwa na mungu ili kuwakomboa
Walioaminishwa mobutu ni yesu wao,walisema hawafati mawazo yoyote ya Mtu yeyote ila yeye tu,mwisho wa siku nchi nzima ikawa na wajinga Kama wewe
Naye mobutu kwa kuwa ni binadamu akajokuta zile sifa alizomwagiwa kwa wingi zinamuelemea
Akaanza kufanya maamuzi yaliyoathiri nchi yake, acheni kumpa sifa kubwa binadamu mwenzenu mtafanya aanze kuaribu.
MOBUTU MPAKA ANAKUFA ALIAMINI HAJAZALIWA MTU WA KUIONGOZA ZAIRE VIZURI KAMA YEYE
Huna tofauti na wazaire walioaminishwa mobutu ndio Kila kitu,kaletwa na mungu ili kuwakomboa
Walioaminishwa mobutu ni yesu wao,walisema hawafati mawazo yoyote ya Mtu yeyote ila yeye tu,mwisho wa siku nchi nzima ikawa na wajinga Kama wewe
Naye mobutu kwa kuwa ni binadamu akajokuta zile sifa alizomwagiwa kwa wingi zinamuelemea
Akaanza kufanya maamuzi yaliyoathiri nchi yake, acheni kumpa sifa kubwa binadamu mwenzenu mtafanya aanze kuaribu.
MOBUTU MPAKA ANAKUFA ALIAMINI HAJAZALIWA MTU WA KUIONGOZA ZAIRE VIZURI KAMA YEYE