FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
Ngeleja Sekta ya Madini Imekushinda
Ngeleja Sekta ya Nishati nayo ndio iko Hoi kabisa..sijui sasa utakuja na jipya gani?
Nikisema hivi na imani Raia wote wa Tanzania mnaelewa ni ugumu gani tunaopitia sasa..
Mgao gani huu wa umeme usioeleweka......
Ngeleja Sekta ya Nishati nayo ndio iko Hoi kabisa..sijui sasa utakuja na jipya gani?
Nikisema hivi na imani Raia wote wa Tanzania mnaelewa ni ugumu gani tunaopitia sasa..
Mgao gani huu wa umeme usioeleweka......