Ni wakati muafaka sasa kwa serikali kuweka vigezo maalumu vya kuwapata waandishi wa habari wenye weledi

afnhondya

JF-Expert Member
Dec 19, 2016
733
746
Mara mbili mfululizo mmehudhuria press za ZITTO ametamka mambo ya ajabu kwa maslahi ya taifa mmeshindwa kumuhoji uwezekano wa kutokea kwa matukio hayo na ukweli alionao Zitto. :-

(1) Nilimwambia IGP amrudishe MO na kweli akafanya ivo. Hivi kweli waandishi hamkuwa na maswali kwa Zitto juu ya uelewa wake ktk sakata hili?

(2) Polisi wameua zaidi ya watu 100 Kigoma.

Napo kweli waandishi hamkuona lolote la kuhoji toka kwa Zitto?. Ni kweli watu 100 wanaweza kufa kinyama porini wasinuke, mizoga kutapakanywa ovyo na mafisi au hata walipo ndugu wa marehemu hao kusikia vilio vya wapendwa wao?. Tumeshindwa hata kuuliza lilipo kaburi la pamoja la marehemu hao?

Udhaifu huu wa waandishi wetu kushindwa kutumia majukwaa yao kitaaluma ndio umemsababishia Zitto kuingia matatani na dola sbb alishajua uwezo wao mdogo wa kutafakari mambo ivo chochote atakachowalisha alijua watameza bila ya hata kutafuna.

Madhara yake ni kwamba Zitto alijua anendelea ku deal na kundi lake alilozoea kulitawala na kujisahau kuangalia mipaka yake. Sasa yuko central atadai anaonewa.

Ni wakati muafaka sasa kwa serikali kuweka vigezo maalum vya kuwapata waandishi habari wenye weledi, uelewa na uzalendo kwa Taifa lao. Hata wamiliki wa blogs nao pia serikali ihakikishe wanapata mafunzo mahususi ya uana habari kwa maslahi mapana ya usalama wa Taifa.
 
Tanzania tuna uhaba mkubwa Sana wa waaandishi wa habari..Hawa waliopo wananunulika na mafisadi Ili wapindue ukweli.mfano kwenye sakata la madawa ya kulevya tumeshuhudia nguvu ya pesa ikibadili ukweli na kuwa uwongo mwisho makonda akachafuka badala wauza ngada ndio wachafuke... watanzania nako Wana tatizo
 
Mara mbili mfululizo mmehudhuria press za ZITTO ametamka mambo ya ajabu kwa maslahi ya taifa mmeshindwa kumuhoji uwezekano wa kutokea kwa matukio hayo na ukweli alionao Zitto. :-

(1) Nilimwambia IGP amrudishe MO na kweli akafanya ivo. Hivi kweli waandishi hamkuwa na maswali kwa Zitto juu ya uelewa wake ktk sakata hili?

(2) Polisi wameua zaidi ya watu 100 Kigoma.

Napo kweli waandishi hamkuona lolote la kuhoji toka kwa Zitto?. Ni kweli watu 100 wanaweza kufa kinyama porini wasinuke, mizoga kutapakanywa ovyo na mafisi au hata walipo ndugu wa marehemu hao kusikia vilio vya wapendwa wao?. Tumeshindwa hata kuuliza lilipo kaburi la pamoja la marehemu hao?

Udhaifu huu wa waandishi wetu kushindwa kutumia majukwaa yao kitaaluma ndio umemsababishia Zitto kuingia matatani na dola sbb alishajua uwezo wao mdogo wa kutafakari mambo ivo chochote atakachowalisha alijua watameza bila ya hata kutafuna.

Madhara yake ni kwamba Zitto alijua anendelea ku deal na kundi lake alilozoea kulitawala na kujisahau kuangalia mipaka yake. Sasa yuko central atadai anaonewa.

Ni wakati muafaka sasa kwa serikali kuweka vigezo maalum vya kuwapata waandishi habari wenye weledi, uelewa na uzalendo kwa Taifa lao. Hata wamiliki wa blogs nao pia serikali ihakikishe wanapata mafunzo mahususi ya uana habari kwa maslahi mapana ya usalama wa Taifa.

Kwa nini waandishi tu? Profession zingine je? Vipi kuhusu polisi? Yao yaliyo fyongo hujawahi yasikia?
 
Kwa hiyo wanafanya makusudi?

Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app

Mkuu naona hukunipata. Bandiko langu halikuelekezwa kwa waandishi kama professionals bali kwa mleta uzi. Msingi wa bandiko langu ni kuwa anapohisi mapungufu kwenye profession fulani ili asionekane biased basi ajiridhishe na labda anazoonekana kuzifagilia kama nazo kweli zimesimama.

Kwa msingi huu basi, whether (waandishi) wanafanya makusudi au la itakuwa haina mashiko na haiko mahala pake.
 
Back
Top Bottom