Ni wakati muafaka sasa kwa Serikali kuruhusu Daladala kubeba abiria njia ya Mbezi-Kimara-grezani-kivukoni

LICHADI

JF-Expert Member
Feb 4, 2015
4,146
11,192
Kwa hali nnayoiyona kimara mwisho kila siku asubuhi, jinsi tunavyopata tabu kutokana na huu mradi wa UDART kutetereka sasa ni mda mzuri wa serikali kuruhusu Daladala za zamani zipate kibali cha kubeba abiria kuanzia mbezi mwisho kuelekea mjini

Mateso tunayoyapata kila siku asubuhi na jioni ni makubwa, mradi huu wa UDART ulianza vizuri lakini sasa kazi imewashinda, abiria tunabanana kwenye mabasi mwishowe tutaambulia kifua kikuu sasa,

Huu ni mda wa serikali kuyapa leseni baadhi ya daladala za zamani hasa zile kubwa zenye milango miwili kama EICHER nazo zibebe abiria katika njia ya pembeni ili kuleta ushindani na kusaidia abiria wanaoteseka

Kila siku tunachelewa makazini hadi vibarua vinataka kuota nyasi na waajiri ukiwaeleza hawaelewi, yote kisa UDART, biashara yoyote ili iwe imara ni lazima ipate mshindani hapo heshima itakuwepo, UDART imekosa mshindani na ndio maana wanafanya wanavyojiskia wakiamua kupaki mabasi wanapaki wakiamua kubeba abiria wanabeba kisa tu wapo wenyewe

Ni mda muafaka kwa serikali yetu kutoa leseni kwa baadhi ya daladala kubwa nazo zibebe abiria katika njia ya pembeni, usumbufu hautokuwepo tena na hii iawasaidia UDART au kama atatokea mwekezaji mpya kuwa na ufanisi kwenye kazi ila wakiachiwa wenyewe hawa hawatakaa wabadilike
 
Kwa hali nnayoiyona kimara mwisho kila siku asubuhi, jinsi tunavyopata tabu kutokana na huu mradi wa UDART kutetereka sasa ni mda mzuri wa serikali kuruhusu Daladala za zamani zipate kibali cha kubeba abiria kuanzia mbezi mwisho kuelekea mjini

Mateso tunayoyapata kila siku asubuhi na jioni ni makubwa, mradi huu wa UDART ulianza vizuri lakini sasa kazi imewashinda, abiria tunabanana kwenye mabasi mwishowe tutaambulia kifua kikuu sasa,

Huu ni mda wa serikali kuyapa leseni baadhi ya daladala za zamani hasa zile kubwa zenye milango miwili kama EICHER nazo zibebe abiria katika njia ya pembeni ili kuleta ushindani na kusaidia abiria wanaoteseka

Kila siku tunachelewa makazini hadi vibarua vinataka kuota nyasi na waajiri ukiwaeleza hawaelewi, yote kisa UDART, biashara yoyote ili iwe imara ni lazima ipate mshindani hapo heshima itakuwepo, UDART imekosa mshindani na ndio maana wanafanya wanavyojiskia wakiamua kupaki mabasi wanapaki wakiamua kubeba abiria wanabeba kisa tu wapo wenyewe

Ni mda muafaka kwa serikali yetu kutoa leseni kwa baadhi ya daladala kubwa nazo zibebe abiria katika njia ya pembeni, usumbufu hautokuwepo tena na hii iawasaidia UDART au kama atatokea mwekezaji mpya kuwa na ufanisi kwenye kazi ila wakiachiwa wenyewe hawa hawatakaa wabadilike
......
 
Basi nunueni hata pikipiki sio kila siku kulalamika tu kwani lazima mpande mwendokasi
 
Hoja ni UDART wameshindwa kazi usafiri umekuwa kero watafutwe wawekezaji wengine kuleta ushindani! Majibu ya nunua yako, hama, tafuta means nyingine haliwezi kuwa mbadala la tatizo linalowaumiza wasafiri jijini Dar. Kila siku!
Usafiri ni kero tangu enzi za mkapa hapo dar lakini wajanja walijipanga wakapata hata vigari na pikipiki za mikopo sasa nyie endeleeni kulialia.
 
Kuna wachangiaji wengine Humu "" hoja zao zinaakisi kuwa CCM haiwezi kuondoka madarakani "" karne nzima" maana inatawala watu wenye utindio wa ubongo ""
 
Uda alishachemka siku nyingi baada ya kuona watu wameanza kurudisha imani kwenye dala dala akafanya fitina za kazuiwa kuingia mjin kupitia rooti anayotoa huduma hyo.
 
Kwa hali nnayoiyona kimara mwisho kila siku asubuhi, jinsi tunavyopata tabu kutokana na huu mradi wa UDART kutetereka sasa ni mda mzuri wa serikali kuruhusu Daladala za zamani zipate kibali cha kubeba abiria kuanzia mbezi mwisho kuelekea mjini

Mateso tunayoyapata kila siku asubuhi na jioni ni makubwa, mradi huu wa UDART ulianza vizuri lakini sasa kazi imewashinda, abiria tunabanana kwenye mabasi mwishowe tutaambulia kifua kikuu sasa,

Huu ni mda wa serikali kuyapa leseni baadhi ya daladala za zamani hasa zile kubwa zenye milango miwili kama EICHER nazo zibebe abiria katika njia ya pembeni ili kuleta ushindani na kusaidia abiria wanaoteseka

Kila siku tunachelewa makazini hadi vibarua vinataka kuota nyasi na waajiri ukiwaeleza hawaelewi, yote kisa UDART, biashara yoyote ili iwe imara ni lazima ipate mshindani hapo heshima itakuwepo, UDART imekosa mshindani na ndio maana wanafanya wanavyojiskia wakiamua kupaki mabasi wanapaki wakiamua kubeba abiria wanabeba kisa tu wapo wenyewe

Ni mda muafaka kwa serikali yetu kutoa leseni kwa baadhi ya daladala kubwa nazo zibebe abiria katika njia ya pembeni, usumbufu hautokuwepo tena na hii iawasaidia UDART au kama atatokea mwekezaji mpya kuwa na ufanisi kwenye kazi ila wakiachiwa wenyewe hawa hawatakaa wabadilike
Very true! Walichukue hili
 
Back
Top Bottom