Kutokana na hali na upepo wa kisiasa, natumaini kwa wabunge wa Tanganyika huu ni Muda muafaka wa kupeleka hoja ya kubadili katiba na kuanzisha serikali ya Tanganyika na kuanzisha vifungu vya kulinda maliasili za watanganyika . That said, Rais JM Kikwete apewe muda wa kuongoza serikali ya Muungano [URT] kwa muda wa miaka miwili kusimamia mchakato wa kuanzisha Katiba mpya ya Tanzania ambayo itakuwa na maudhui ya kuanzisha Federal State.Uchaguzi wa mwaka huu usogezwe mbele hadi 2012. Hii imekaaje?