Ni wakati gani uliwahi kuwa na furaha zaidi na hutoisahau?

Deadbody

JF-Expert Member
May 30, 2015
4,276
6,584
1125108


Mimi sitasahau siku ambayo matokeo ya form 4 yametoka na kuona nimefaulu kwa ile division kubwa,nikawa nikipita mtaani namsalimia kila mtu.

Karibuni
 
View attachment 1125108

Mimi sitasahau siku ambayo matokeo ya form 4 yametoka na kuona nimefaulu kwa ile division kubwa,nikawa nikipita mtaani namsalimia kila mtu.

Karibuni
Aisee binafsi kwangu ilikuwa kipindi ambacho i was in love na msichana ambaye tulipendana saana yan i was sooo happy saut yake tu hata kama nilikuwa nimekasirika vp ntafurah tu daah sitosahau actualy it was a gud love,peace and full of happyness!!
 
Aisee binafsi kwangu ilikuwa kipindi ambacho i was in love na msichana ambaye tulipendana saana yan i was sooo happy saut yake tu hata kama nilikuwa nimekasirika vp ntafurah tu daah sitosahau actualy it was a gud love,peace and full of happyness!!
bado mko wote mkuu?
 
Kila siku huwa nina furaha, ila furaha yangu huzidi pale nimpendae anaponipigia simu!
 
Back
Top Bottom