2007 ndo wakati ambao nilitamani ardhi ipasuke nizame ndani yake baada yakumtia mimba mwanafunzi. Binti alinitaja baada kupokea kichapo heavy licha yakunisisitizia kutofanya hivyo.
Nikawekwa selo kesi ikiendelea, nililia na kujuta huku nikiomba Mungu aniepushe na miaka 30. Siku ya hukumu ikawadia dah! siku hiyo niliiona miujiza ya Mungu, binti alipoulizwa kua mimi ndo nilomtia mimba alikana akasema alikubali ajili ya kuzidiwa kipgo.
Kesi ikawa hamna tena nikawa huru, wazazi wake walireact wakamwambia unatusaliti ajili ya kumtetea mpumbavu wako? Kuanzia leo sisi sio wazazi wako na ni marufuku kukanyaga kwetu, kisha wakaondoka.
Binti alibaki analia wazazi wangu wakaahidi kumsaidia, akasafirishwa kuishi kwa mjomba, baada ya kujifungua mjomba alikuja kwao kumuombea msamaha na akawaambia tutamsomesha, wazazi walielewa hivyo akatafutiwa shule akaendelea.
NB: Japo sikumuoa but namheshimu sana huyu binti hadi naingia kaburini coz aliniepusha kunyea ndoo.
Je, kwako ni wakati gani ulitamani ardhi ipasuke uzame ndani yake?
Nikawekwa selo kesi ikiendelea, nililia na kujuta huku nikiomba Mungu aniepushe na miaka 30. Siku ya hukumu ikawadia dah! siku hiyo niliiona miujiza ya Mungu, binti alipoulizwa kua mimi ndo nilomtia mimba alikana akasema alikubali ajili ya kuzidiwa kipgo.
Kesi ikawa hamna tena nikawa huru, wazazi wake walireact wakamwambia unatusaliti ajili ya kumtetea mpumbavu wako? Kuanzia leo sisi sio wazazi wako na ni marufuku kukanyaga kwetu, kisha wakaondoka.
Binti alibaki analia wazazi wangu wakaahidi kumsaidia, akasafirishwa kuishi kwa mjomba, baada ya kujifungua mjomba alikuja kwao kumuombea msamaha na akawaambia tutamsomesha, wazazi walielewa hivyo akatafutiwa shule akaendelea.
NB: Japo sikumuoa but namheshimu sana huyu binti hadi naingia kaburini coz aliniepusha kunyea ndoo.
Je, kwako ni wakati gani ulitamani ardhi ipasuke uzame ndani yake?