mwanakijiji lugusi
Senior Member
- Apr 13, 2016
- 128
- 96
Wakuu poleni na majukumu naombeni kuuliza ni vyuo gani mpaka sasa wanaopokea wale waliohitimu foundation program open university? Coz mpaka sasa mambo hayaeleweki kabisa nahisi open wametutapeli na kutupotezea muda na ada zetu