Ndugu zangu, kuna deni naidai shule. Nili- supply vyakula na maktaba ninao. Lakini kabla sijaenda mahakamani ningependa nianzie kwenye vyombo vya usuruhishi. Sababu ningependa swala hili limalizike kiiungwana na pia kwenda mahakamani inachukua muda mrefu sana kupata haki yako. Tafadhali naomba msaada wa mawazo na kisheria niende wapi kwa upatanishi?.Ila Nisipopata muafaka nitaenda mahakamani.