pumzi na vyakula wapi na wapi!!!!
Na hivi vyakula vya GMO yani itafika siku wanaume ukifanikiwa kukaa juu ya kifua for 10 minutes unashangalia kama umeshinda jackport! Nawaonea huruma watoto wetu.
nawasalim woote wana jf. Naomba kujuzwa ni vyakula vp hasa mwana mume anaweza kuvila kuboresha ndoa yake badala ya kutumia dawa za kichina na zinginezo ambazo zina sadikika kuleta madhara. nawasilisha
Dagaa wa Mwanza, Pweza wa Darisalama, na Tikiti maji na mbegu zake la Bagamoyo
Aisee kweli ndoa nyingi sana zinabomoka coz of wanaume wanashindwa kupiga game effectively,yaani wanawake kuridhika imekuwa kitendawili......ila wanaume wa mjini ndio wanamatatizo hayo sana