Naomba muwe wakweli, maana naamini kila msichana angependa kuujua ukweli huu.
Nyie mwavutiwa na nini Zinduna? Naskia siku izi uzuri wetu ni pesa, hapo utampata yoyote yule. Mimi kuhusu navutiwa na nini kwa mwanamke sijui kwakweli let me think
Ila mwanzo zinakua ni sababu kubwa, alafu baadae ndio anagundua. si unajua wanatumia kichwa kile kidogo zaidi wakati wa kufikiria?Na ndio maana ndoa nyingi hazina amani, maana sifa za nje pekee hazimkamilishi mwanamke!