kelvinlewis
JF-Expert Member
- Jan 8, 2018
- 308
- 205
Nahitaji kujuwa vitu muhimu ambavo ukiwa navo uwez sumbuliwa katika mipaka ya nchi wakati was safari ya kwenda south Africa mwenye kujuwa juu ya ili msaada tafadhali, na wale pia waongea shombo kwenye theard za watu pia unaweza changia chochote
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app