Ni vitu gani huchangia mwanaume na mwanamke kuishi pamoja bila ndoa?

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,597
215,272
Tukiwa wanyama wenye akili kupita wote na ufahamu wa mema na mabaya, tumejiwekea ethics kama sehemu ya maisha yetu. Uko huru kuamini dini yeyote au kuwa mpagani, lakini uwe pia na uelewa wa kujibu swali iwapo watoto wako watakuuliza kwanini umeamua kuwa Mpagani, Mcosmo au unaamini jua.

Siku hizi come and we stay ni style ya maisha si mjini tu bali hata huku Malampaka vijijini. Ni rahisi kuja kuwafahamisha watoto wetu kuwa Baba na mama walikutana disko na asubuhi yake walianza kuishi pamoja?

Hakuna anaetupangia maisha lakini norms za society zizingatiwe.

Povu ruksa.
 
Tukiwa wanyama wenye akili kupita wote na ufahamu wa mema na mabaya, tumejiwekea ethics kama sehemu ya maisha yetu. Uko huru kuamini dini yeyote au kuwa mpagani, lakini uwe pia na uelewa wa kujiunga swali iwapo watoto wako watakuuliza kwanini umeamua kuwa Mpagani, Mcosmo au unaamini jua.

Siku hizi come and we stay ni style ya maisha si mjini tu bali hata huku Malampaka vijijini. Ni rahisi kuja kuwafahamisha watoto wetu kuwa Baba na mama walikutana disko na asubuhi yake walianza kuishi pamoja?

Hakuna anaetupangia maisha lakini norms za society zizingatiwe.

Povu ruksa.
Sababu kubwa ni kupenda slope tu ktk maisha, hawawezi kupambana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zinaa unayoifanya kila siku haikuogopeshi?

Mtanguluze Mungu mbele ufanye Liliuokalani na haki. Hata wewe una kasoro zako.
Mmmm!!
30yrs now inafanywa mbona haijaogopwa kwanini iwe ya kuogopwa akiwekwa ndani.

Nakubali makosa ninayo lakini kuoa kwa pupa Hilo ndo kosa kubwa lenye huge impact zaidi ya zinaa



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani kinachotokea siku hizi wazazi wa pande zote mbili unapofika umri fulani wanamuacha mtoto afanye analotoka bila kujali mila na tamaduni.Kwani watu wanapoishi pamoja bila ndoa inafika mahali wazazi wanajua lakini wananyamaza wakati zamani ilichukuliwa ni kitendo cha aibu sana kwa binti kufanya hivyo na kwa kijana wa kiume ilikuwa ni hatari kubwa sana endapo tatizo litatokea kwa binti kama kuugua au hata kifo. Kwa ujumla ni amataotekeo ya mmonyoko wa maadili na kutokuwa na hofu ya MUngu
 
Tukiwa wanyama wenye akili kupita wote na ufahamu wa mema na mabaya, tumejiwekea ethics kama sehemu ya maisha yetu. Uko huru kuamini dini yeyote au kuwa mpagani, lakini uwe pia na uelewa wa kujibu swali iwapo watoto wako watakuuliza kwanini umeamua kuwa Mpagani, Mcosmo au unaamini jua.

Siku hizi come and we stay ni style ya maisha si mjini tu bali hata huku Malampaka vijijini. Ni rahisi kuja kuwafahamisha watoto wetu kuwa Baba na mama walikutana disko na asubuhi yake walianza kuishi pamoja?

Hakuna anaetupangia maisha lakini norms za society zizingatiwe.

Povu ruksa.
Jamii nyingi za kiafrica wanawake walikuwa wanaolewa mapema sana.
Nyingine waliruhusu kama umempenda mteke then utaratibu mwingine wa kulipa mahari utafuata.
Wengine ukipenda ukawaone wazazi ukamilishe utaratibu bikra na maana ya shera ilikuwepo.
Walioolewa kiasi kikubwa ni wasichana lakini leo wanaoolewa ni wanawake.
Kiufipi mila iliyopo leo kutokana na tamaduni hazina kazi tena kila mtu anachukua sheria mkononi.
Watu wanapoamua kuishi pamoja hiyo ni sheria mkononi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zinaa unayoifanya kila siku haikuogopeshi?

Mtanguluze Mungu mbele ufanye Liliuokalani na haki. Hata wewe una kasoro zako.
Lait kama dhambi ingekua n zinaa peke yake, point yako ingekua na nguvu sana.. dhambi n nyingi mno

Bible inasema utaondoka kwenu nitaondoka kwetu tutaambatana, that means kama familia zote zina taarifa hiyo n ndoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni baada ya mademu kuona dalili ya umri kwenda, na hakuna atakayewaoa, wanajaribu kutumia mbinu ya mwisho ya kubeba mimba kwanza.
 
Lait kama dhambi ingekua n zinaa peke yake, point yako ingekua na nguvu sana.. dhambi n nyingi mno

Bible inasema utaondoka kwenu nitaondoka kwetu tutaambatana, that means kama familia zote zina taarifa hiyo n ndoa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kwenye bibilia Yakobo alimtumikia Ruben mjomba wake kabla hajapewa Rachel na dada yake. Kuna taratibu za kimila kabla hujakabidhiwa binti.

Hata wa pagani wana mila zao za kuruka fagio.
 
Hata kwenye bibilia Yakobo alimtumikia Ruben mjomba wake kabla hajapewa Rachel na dada yake. Kuna taratibu za kimila kabla hujakabidhiwa binti.

Hata wa pagani wana mila zao za kuruka fagio.
Hayo n makubaliano yao, Yakobo na familia ya Mwanamke

Ndio maana nikasema , Endapo familia zenu zinajua /taarifa au zimeafiki nyie mnaishi pamoja

Au ulikua unataka mahari?? mzazi wako aku exchange kwa ng'ombe na shuka?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tafsiri ya serikali kuhusu ndoa ndio sahihi, ni maridhiano tu baina ya mtu mume na mtu mke kuwa waishi pamoja mengine ni kachumbali tu eti mahari, sendoff, kitchen party ,keki na mengine yooote.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wasioamini Mungu wafuate hizi sheria za serikali lakini kama unaamnini Mungu baraka zakiongozi wa dini ni muhimu pia ridhaa ya wazazi iwe mpagani au la.
 
Back
Top Bottom