Ni vitambaa gani bora vinavyotumika kushonea nguo,mathalani suti za kisasa?

adb

Member
Sep 4, 2016
17
17
Habari wadau,
Ningependa kufahamu ni aina gani ya vitambaa bora zaidi vinavyotumika kushonea nguo hasa suti za kisasa na nguo nyingine zinazo tamba kwa sasa...
Kwa wadau wa fassion na yeyote mwenye ufaham tafadhali naomba msaada.
 
Dark blue imetulia sana aiseh ukiangalia hata makocha Ulaya wamekuwa wakitupia hii kitu sana aiseh
 
Kuna zile wanavaa wabembe, mizigo inang'ara mpk watizamaji tunataka kupofuka macho
 
Acha utumwa Wa fikra, rudi katika asili yako...tafuta ngozi ya mkuli, kiboko au tembo ushone mtoko Matata mkuu.
 
vitambaa vya material za wool 100%ndo kali kwa kushonea suruali za kiume. Sema ni vitambaa bei. Ukienda maduka ya wahindi unapata.
 
M
vitambaa vya material za wool 100%ndo kali kwa kushonea suruali za kiume. Sema ni vitambaa bei. Ukienda maduka ya wahindi unapata.
kuu asante kwa taarifa ila pia naomba kujua mafundi wazuri wa nguo za kiume kuna nguo nimeipenda natamani kuishona ila huwa naogopa sana kushona mana mafundi wetu aisee ni pasua kichwa sana naomba kama una fundi mzuri unaemfahamu yuko vzr kweli uniunganishe nae
 
Back
Top Bottom