Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,641
Mke kwangu yupo safi kabisa
Kama mkeo tu alivyo na gundu
Kama mkeo tu alivyo na gundu
Tulia ajiamini! au Tulia hajiamini? Kiswahili si lugha yetu tujifunze.Vita kubwa kati ya mbunge wa viti maalum na naibu waziri Dr Mary Mwanjelwa na Naibu Spika Tulia Ackson. Dr Mwanjelwa anamshtuma Tulia Ackson kuwa kaanza kampeni za uchaguzi mapema na kuleta mpasuko kwenye jimbo lake.
Dr. Mwanjelwa kawepa bayana kuwa Tulia Ackson anakiuka sheria za chama lakini chama kipo kimya.
Je, chama kinamuogopa Tulia?
Je, kuna mkubwa anaemshika Tulia mkono ndio maana analeta mpasuko uko Mbeya?
Je, Tulia ajiamini ndio maana anaanza kampeni mapema hivi?
Kwanini Ccm inakua na upendeleo wa kuachia wengine wafanye kampeni na wengine wamezuiliwa?View attachment 1107052View attachment 1107053
nawewe barua kwani ya ikulu hiyo mpaka iwe perfect? unaambiwa ni ya mbunge, ana katibu pale kaofisini kwakeHiyo barua naona kama ya kutengenezwa, or else aliwaachia wasaidizi wake wamwandikie na yeye hakui-vet, unajua wasaidizi wa viongozi wa CCM asilimia 99% ni darasa la 7