Kwan kila kitu lazima mlete humu jf? Hapo ulipo hamna wa kumuulizawasalaam
Ndugu wanajamii ninaomba kujuzwa ni vipimo gani hutazamwa katika usahili wa JKT?
natanguliza shukrani kwenu...
Leta ushahidii...wa kutoshaaa..2016 kuna jamaa yangu ni HIV+ alichukuliwa na amefuzu, baba yakdogo ni brigedia
2016 kuna jamaa yangu ni HIV+ alichukuliwa na amefuzu, baba yakdogo ni brigedia
Huyo ni JKT mujibu wa sheria???Kwa wakujitolea haiwezekani mkuu2016 kuna jamaa yangu ni HIV+ alichukuliwa na amefuzu, baba yakdogo ni brigedia
Aiseee uliwahi kupimwa????Marinda...
Weka uthibitisho2016 kuna jamaa yangu ni HIV+ alichukuliwa na amefuzu, baba yakdogo ni brigedia
2016 kuna jamaa yangu ni HIV+ alichukuliwa na amefuzu, baba yakdogo ni brigedia
NdioAiseee uliwahi kupimwa????
Vizuri sana mkuu nimekupenda bureNdio
Anaenda kupoteza muda tu.2016 kuna jamaa yangu ni HIV+ alichukuliwa na amefuzu, baba yakdogo ni brigedia
Bado yapo.Ivi wakuu yale mambo ya zamani kutazamana unyayo na tigo bado yapo au ni stori 2 za watu.
Hivi unaamini kabisa brigedia general afanye huo uhuni wa kufosi HIV positive awe askari jeshi???Anaenda kupoteza muda tu.
HIV+ huwezi kupiga kozi ya jeshi.
Atarudishwa tu hata iweje