Ni vipimo gani vinavyotumika kuhakikisha damu tunayochangia ni salama?

Sheillah Sheillah

JF-Expert Member
Jun 17, 2020
583
1,478
Habari Wakuu?
Tunatambua kwamba vipimo vyetu tunavyotumia kupima HIV wanasema majibu ya uhakika ni baada ya miezi mitatu.
Je kama mtu virus hawajaanza kuwa detected kwenye hivi vipimo lakini tayari ana maambukizi, je hii damu atakayochangia ina usalama gani?

Wataalamu karibuni.
 
Mkuu dunia ya sasa imepiga sana hatua kwenye suala la afya.ile damu mpaka aanapewa mgonjwa imekuwa imepita kwenye hatua nyingi sana , na haitolewi leo na mda huo kupewa mhonjwa, na siyo tu wanaangalia ukimwi tu kwenye damu kuna magonjwa kibao, hata malaria ukiwa nayo hiyo damu si salama
 
Kweli maabara makubwa kama muhimbili, ocean road na baadhi ya hospitali hata ukiipata ndani ya wiki tu kipimo kinasoma
 
Back
Top Bottom