zinginary
JF-Expert Member
- Dec 18, 2015
- 2,467
- 1,686
Habar ya asubuhi wakuu??
Hapa nililala na ndio nimeamka but kuna kitu kichwan kinatesa since Jana
Jana jion nikiwa mizunguko yangu nikakutana na watu katika machimbo yao kadhaa wanajivinjar pombe aina ya ULANZI hiyo ni pombe maarufu sana iringa
Nipo Mbeya kwa sasa hawa jamaa wananunua Lita moja kwa sh500/= hii ni natural product kabisa na hii pombe ikilala inakuwa na ukakasi flan na nichungu wanaita(MKANGAVU) SO BAADA YA KULALA WANYWAJI WENGI WANAKUWA HAWAIPENDI, yaan in short hii pombe inapendwa iliyo GEMWA leoleo inakuwa tamu ni nzur nk..
Hii aina ya pombe ni huwa mala nyingi inapatikana kipind cha kifuku Tuu,kiangaz huwez kuipata au ukipata kwa uchache na kwa Bei ya juu kabisa hiyo ni kwasababu ya uhaba wa technologia jinsi ya kuistore..na pia inapatikan kwa wingi nyanda za juu kusini maana hata wakigema Leo makete Mbeya mjini na maeneo mengine itafika leoleo bila kuchacha kuwa mkangavu..so na ndio mana kwa tz pengine hii pombe ni maarufu kwa hii kanda Tuu
Kwasababu HIZO nikaa na kufikiria usiku kwann tusiiweke ktk package ili I we inauwezo wa kuuzika hata kiangazi na pia iwe na uwezo wa kusambazwa nchi nzima na iwe kma kinywaji maarufu cha asili kama ilivyo Korea ( SOJU NA RICE WINE)
WATU mliosoma fermentation mtakuwa deep sana na kuelezea kwann inachacha na kwann hatuwezi kuiweka ktk chupa na vipi itawezekana..??
By the way
Kule iringa wakigema huwa wanachimbia chini na haichachi sasa navyo Jua hicho ni kitendo cha kuiweka mbali na oxygen (ktk fermentation kuna mambo ya anaerobic na aerobic) ndivyo wanavyo Fanya bila wao kujua nimeamka usingiz na kaidea haka next time nikitulia na kuifanyia utafiti nitakuja na wazo but now kwayeyote kwenye uzoefu unaweza to a wazo lolote na watu wakafanyia Kaz..
Wabongo wengi wanaizarau kuwa ni Mataputapu,local nk but IPO day wataiheahimu kama wanavyo heshimu honey wine..
Nawasilisha na ngoja nikafungue lock
Asubuhi njema
Hapa nililala na ndio nimeamka but kuna kitu kichwan kinatesa since Jana
Jana jion nikiwa mizunguko yangu nikakutana na watu katika machimbo yao kadhaa wanajivinjar pombe aina ya ULANZI hiyo ni pombe maarufu sana iringa
Nipo Mbeya kwa sasa hawa jamaa wananunua Lita moja kwa sh500/= hii ni natural product kabisa na hii pombe ikilala inakuwa na ukakasi flan na nichungu wanaita(MKANGAVU) SO BAADA YA KULALA WANYWAJI WENGI WANAKUWA HAWAIPENDI, yaan in short hii pombe inapendwa iliyo GEMWA leoleo inakuwa tamu ni nzur nk..
Hii aina ya pombe ni huwa mala nyingi inapatikana kipind cha kifuku Tuu,kiangaz huwez kuipata au ukipata kwa uchache na kwa Bei ya juu kabisa hiyo ni kwasababu ya uhaba wa technologia jinsi ya kuistore..na pia inapatikan kwa wingi nyanda za juu kusini maana hata wakigema Leo makete Mbeya mjini na maeneo mengine itafika leoleo bila kuchacha kuwa mkangavu..so na ndio mana kwa tz pengine hii pombe ni maarufu kwa hii kanda Tuu
Kwasababu HIZO nikaa na kufikiria usiku kwann tusiiweke ktk package ili I we inauwezo wa kuuzika hata kiangazi na pia iwe na uwezo wa kusambazwa nchi nzima na iwe kma kinywaji maarufu cha asili kama ilivyo Korea ( SOJU NA RICE WINE)
WATU mliosoma fermentation mtakuwa deep sana na kuelezea kwann inachacha na kwann hatuwezi kuiweka ktk chupa na vipi itawezekana..??
By the way
Kule iringa wakigema huwa wanachimbia chini na haichachi sasa navyo Jua hicho ni kitendo cha kuiweka mbali na oxygen (ktk fermentation kuna mambo ya anaerobic na aerobic) ndivyo wanavyo Fanya bila wao kujua nimeamka usingiz na kaidea haka next time nikitulia na kuifanyia utafiti nitakuja na wazo but now kwayeyote kwenye uzoefu unaweza to a wazo lolote na watu wakafanyia Kaz..
Wabongo wengi wanaizarau kuwa ni Mataputapu,local nk but IPO day wataiheahimu kama wanavyo heshimu honey wine..
Nawasilisha na ngoja nikafungue lock
Asubuhi njema