ni aje hommiez! Mara nyingi najaribu kuangalia sayansi na teknolojia katika nchi yetu. Ni kweli serikali inahimiza au kuchochea mpango mzima wa sayansi na teknolojia kwa watuwe lakini bado sijajua ni kwa nini watu wengi hawayapendi masomo ya sayansi ukiiachilia mbali dhana ya eti ugumu wa masomo yenyewe! Hivi naomba kuuliza, hawa engineers especialy chemical engineers na mining engineers wanapata deal kweli? Na range zao za mishahara zikoje? Niambieni nipate mitazamo yenu you great thinker.