Ni vile tu wangi wetu ni docile lakini kinachoendelea ni kumaliza nguvu ya hoja ya Katiba Mpya

winnerian

JF-Expert Member
Jul 12, 2015
334
530
Ninapata nguvu kubwa ya kuamini kwamba kinachooendelea kwa Mbowe na CHADEMA kwa ujumla ni kuzima ajenda ya katiba mpya kabisa kisha ikishakufa anatokea DPP anasema sina haja ya kuendelea na kesi ya ugaidi inayomuhusu Mbowe na wenzake.

Kitalaamu ukiligundua hili utaona ni vigumu sana CHADEMA na wanaharakati kuendeleza hoja ya katiba mpya na kuacha kumtete kwanza Mbowe ba hivyo kuchelewesha hoja ya msingi na mwisho kabisa kuhidhohofisha.

Kwa hivyo serikali inabuy time mpaka utakapofika wakati iseme tu kirahisi haina haja ya kuendelea na kesi.

Kweli sisi docile hatuna namna nyingine.
 
Ninapata nguvu kubwa ya kuamini kwamba kinachooendelea kwa Mbowe na Chadema kwa ujumla ni kuzima ajenda ya katiba mpya kabisa kisha ikishakufa anatokea dpp anasema sina haja ya kuendelea na kesi ya ugaidi inayomuhusu Mbowe na wenzake.

Kitalaamu ukiligundua hili utaona ni vigumu sana Chadema na wanaharakati kuendeleza hoja ya katiba mpya na kuacha kumtete kwanza Mbowe ba hivyo kuchelewesha hoja ya msingi na mwisho kabisa kuhidhohofisha.

Kwahivyo serikali inabuy time mpaka utakapofika wakati iseme tu kirahisi haina haja ya kuendelea na kesi.

Kweli sisi docile hatuna namna nyingine.
Kuna siku tutakuwa stubborn, si mbali sana
 
Serikali iko mbioni kuanzisha na kumalizia ujenzi wa shule ili watoto wetu wapate elimu karibu na maeneo yao badala ya kutembea umbali mrefu kufuata elimu, iko mbioni kujenga hospital ili kuokoa afya zetu na watoto, inajenga barabara ili kurahisishia wakulima waweze kuvuna na kuuza mazao yao kwa wakati, inajenga miundo mbinu ya kurahisisha upatikanaji wa maji na umeme. Haya ndio mambo ya muhimu ambayo watu wanaweza kuyajadili. Sio mambo ya katiba ambayo yatatumiwa na wanasiasa kama uchochoro wa kupiga hela kupitia vikao vya katiba hiyo. Kama chama kinataka katiba kiweke katika ilani yake ya uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2025. Ila kwa sasa hatuwezi kukubali serikali iache yale iliyoahidi kuyafanya kwa wananchi wake eti kwa ajili ya kutengeneza katiba ambayo itakuwa na faida zaidi kwa wanasiasa.
 
Serikali iko mbioni kuanzisha na kumalizia ujenzi wa shule ili watoto wetu wapate elimu karibu na maeneo yao badala ya kutembea umbali mrefu kufuata elimu, iko mbioni kujenga hospital ili kuokoa afya zetu na watoto, inajenga barabara ili kurahisishia wakulima waweze kuvuna na kuuza mazao yao kwa wakati, inajenga miundo mbinu ya kurahisisha upatikanaji wa maji na umeme. Haya ndio mambo ya muhimu ambayo watu wanaweza kuyajadili. Sio mambo ya katiba ambayo yatatumiwa na wanasiasa kama uchochoro wa kupiga hela kupitia vikao vya katiba hiyo. Kama chama kinataka katiba kiweke katika ilani yake ya uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2025. Ila kwa sasa hatuwezi kukubali serikali iache yale iliyoahidi kuyafanya kwa wananchi wake eti kwa ajili ya kutengeneza katiba ambayo itakuwa na faida zaidi kwa wanasiasa.
Subiri siku unabambikiziwa kesi ya ugaidi na uhujumu uchumi halafu unaenda kutafuta haki mahakamani unaikuta serikali ilyokubambikizia kesi ndio mahakama unajaribu kumtafuta mbunge wako na yeye pia amepewa ubunge na serikali kisha unafungwa maisha. Ndio utajua hayo madawati kama ni msaada wa mustakabali wa nchi.
 
Mimi kwangu mtu anapogusa katiba mpya huwa simuelewi. Wabunge na wawakilishi Wapinzani ni chini ya asilimia sita katika mabaraza hayo na kila kipengele kinataka kupata asilimia sitini na sita 66% sasa mnadai katiba mpya mkitegemea kuungwa mkono na wabunge na wawakilishi wa ccm?
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom