Habari zenu wana jamvi:,
mh. Mizengo kayanza peter pinda kazidisha utitiri wa watanzania wanaohitaji aiongoze tanzania.
Suala hili limekuja baada ya mikoa ya kaskazini kusini na mashariki kukunwa zaidi na utendandaji wake uliotukuka na mzuri zaidi ya maelezo hasa pale alipotokomeza ugaidi nchini hususani kuripuliwa misikiti na makania, kuleta kilimo bora cha kisasa kwa kutumia matrekta, kuongeza pesa kwa kuwadhamini wanavyuo wa elimu ya juu vyuo vikuu, kuboresha elimu tanzania, afya, kuinua uchumi n.k.
Kubwa zaidi ni kwa ukimya wake kama rais wa marekani mstaafu mh. Bill clincton ambapo hana makundi wala kundi la kuingia nalo ikulu.
Anawajali watanzania wote bila kujali itikadi zao za dini, rangi, ukabila n.k
anatosha kuliongoza taifa la tanzania 2015 - 2020
Habari zenu wana jamvi:,
mh. Mizengo kayanza peter pinda kazidisha utitiri wa watanzania wanaohitaji aiongoze tanzania.
Suala hili limekuja baada ya mikoa ya kaskazini kusini na mashariki kukunwa zaidi na utendandaji wake uliotukuka na mzuri zaidi ya maelezo hasa pale alipotokomeza ugaidi nchini hususani kuripuliwa misikiti na makania, kuleta kilimo bora cha kisasa kwa kutumia matrekta, kuongeza pesa kwa kuwadhamini wanavyuo wa elimu ya juu vyuo vikuu, kuboresha elimu tanzania, afya, kuinua uchumi n.k.
Kubwa zaidi ni kwa ukimya wake kama rais wa marekani mstaafu mh. Bill clincton ambapo hana makundi wala kundi la kuingia nalo ikulu.
Anawajali watanzania wote bila kujali itikadi zao za dini, rangi, ukabila n.k
anatosha kuliongoza taifa la tanzania 2015 - 2020
Miaka 8 baaaedr JOHN POMBE MAGUFULI ndo mwenye sifa zote hizo kasoro moja tu kuwa anatoka ccm
Nafikiri tuna cha kusema kwa usahihi!!Miaka 8 baaae