Ni vigumu sana kupata mashairi/ Lyrics za Bongo Flavor mtandaoni.

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,462
154,344
Tatizo wasanii wa Tanzania hawaandiki mashairi yao na kuyaweka mtandaoni.

Hawajui kuwa msikilizaji au mnunuzi wa kazi zako za sanaa ni mteja wako, na mteja anahitaji huduma ya hali ya juu ikiwemo kupewa au kupata mashairi ya kimaandishi ya nyimbo unazoziimba.

Ndio maana zamani ukinunua original CD au tapes ulikuwa unakuta na karatasi ya mashairi ya nyimbo zote.

Sasa Bongo fleva hawajui haya mambo ila wasanii wa nje wanayajua sana.
 
Tatizo wasanii wa Tanzania hawaandiki mashairi yao na kuyaweka mtandaoni.

Hawajui kuwa msikilizaji au mnunuzi wa kazi zako za sanaa ni mteja wako, na mteja anahitaji huduma ya hali ya juu ikiwemo kupewa au kupata mashairi ya kimaandishi ya nyimbo unazoziimba.

Ndio maana zamani ukinunua original CD au tapes ulikuwa unakuta na karatasi ya mashairi ya nyimbo zote.

Sasa Bongo fleva hawajui haya mambo ila wasanii wa nje wanayajua sana.
unadhan hawana akili kabisa?mashairi ya bongo fleva yanaandikika?jaribu " nibebe"kama hijatapika kwa ujuha walioutunga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jaribu kutumia Shazam, nyimbo nyingi zina lairiksi

Mambo yamekua mengi na Mengi yamekua Mambo
 
Wanayoyaimba ni aibu tupu, waandike ili iweje?
Hebu fikiria Juma Nature aandike nini sasa?
Kafungu kayajaza....
mara sijui ugali umefanyeje....
ukikutana na katatasi chini ya lyrics zake unaweza kudhani ni mtoto wa darasa la nne alikuwa anajifunza kutunga nyimbo
 
Tatizo wasanii wa Tanzania hawaandiki mashairi yao na kuyaweka mtandaoni.

Hawajui kuwa msikilizaji au mnunuzi wa kazi zako za sanaa ni mteja wako, na mteja anahitaji huduma ya hali ya juu ikiwemo kupewa au kupata mashairi ya kimaandishi ya nyimbo unazoziimba.

Ndio maana zamani ukinunua original CD au tapes ulikuwa unakuta na karatasi ya mashairi ya nyimbo zote.

Sasa Bongo fleva hawajui haya mambo ila wasanii wa nje wanayajua sana.
Wavivu sana hao kuna kipindi kiba alikua akitoa ngoma bas na mashaili yanakuwepo chini ya kideo lakini kaachaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuhusu matumizi ya mitandao siyo wasanii tu, ni karibia watanzania wengi tuna hilo tatizo.

Angalieni website za makampuni binafsi na ya serikali, unakuta taarifa zilizopo ni za zamani sana.

Kuna kampuni ziko registered lakini kupata latest Financial Reports ni kwenye mtandao ni issue.
 
Tena bora wasiweke tutakuwa tunawakaririsha watoto upumbavu, vuta picha unakuta mwanao anakariri mashairi ya Nyegezi.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom