yomboo
JF-Expert Member
- May 9, 2015
- 6,226
- 4,894
Sasa wewe unafikiri itawezekanaje ikiwa taifa limejaa wajinga kila Kona?Inabidi sasa tuuseme ukweli huu,
Kipindi kilichopita CHADEMA ilishaanza kushamiri sana maeneo mengi nchini, kuanzia Arusha, Dar es salaam ,Mbeya ,Bukoba mjini na Karagwe,
Lakin Tuwe wawazi muda huu kama una mpango wa kugombea ubunge maeneo yafuatayo
1.Mwanza
2.Geita
3.Kagera
4.Dodoma
5.Shinyanga
6.Dar es salaam
7.Arusha mjini
8. Mtwara
9.Lindi
10. Pwani
Bora ukapitia CCM, maana maeneo hayo kwa haraka hawana mwamko wa masuala ya upinzani, na pale ilipotokea wakawapa wapinzani ni kwa sababu ya mtafaruku ndani ya chama tawala,
Mpaka sasa hata hao wabunge wa Upinzani hawana uhakika na nafasi zao
1.Kawe
2.Hai
3.Arusha mjini
4.Bukoba mjini
5. Iringa
6. Mbeya mjini
7. Ubungo
8. Kibamba
Hawa nawahakikishia hawatarudi bungeni, labda wahamie CCM itasaidia
By force majimbo hayo yatarudi CCM,
Tukutane 2020 November
Note that kwa maelezo maalumu wagombea watateuliwa ,yaan wanapita wale wa namna tutakayo