kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Kati Jambo lisilotakiwa na ccm nikuruhusu watu wapate taarifa sahihi. Magazeti ya Tanzania Daima na Mwanahalisi ni mwiba kwa CCM na kufunguliwa kwayo ni kuruhusu magazeti ya Tanzanite na Uhuru yakose soko.
Bado tuna safari ndefu ya Uhuru wa habari Tanzanjia na alichokiktataa Rais Jana kwamba wasipate chakusema naamini wameongezewa agenda. Jana hotuba yake iliwavutia watu wengi sana, huko Duniani wakaandika positively, hasa wakifuatilia implimentation ya ahadi mwisho wakagundua hakuna utekelezaji vikwazo vitakuwa vikubwa zaidi
Tunawachezesha ngoma ya ulaghai wananchi lakini mwisho wanaoumia ni wote.
Bado tuna safari ndefu ya Uhuru wa habari Tanzanjia na alichokiktataa Rais Jana kwamba wasipate chakusema naamini wameongezewa agenda. Jana hotuba yake iliwavutia watu wengi sana, huko Duniani wakaandika positively, hasa wakifuatilia implimentation ya ahadi mwisho wakagundua hakuna utekelezaji vikwazo vitakuwa vikubwa zaidi
Tunawachezesha ngoma ya ulaghai wananchi lakini mwisho wanaoumia ni wote.