alexelias
JF-Expert Member
- Sep 1, 2017
- 2,032
- 3,198
Ukiangalia mechi ya wiki lile baina ya timu ya Yanga na Rollers pale Uwanja wa Taifa beki kisiki yule aliliziba vyema kabisa pengo la `Vidic' wa Yanga aliyekuwa katika mgomo wa maslahi yake.
Leo pia Kule Botswana amedhihili kwamba yeye ni mchezaji muhimu wa nafasi anayoichezea ya ulinzi!
Sasa mimi nauliza ni kwa sababu zipi hasa pale Msimbazi mashine ile ilipuuzwa!!!????
Leo pia Kule Botswana amedhihili kwamba yeye ni mchezaji muhimu wa nafasi anayoichezea ya ulinzi!
Sasa mimi nauliza ni kwa sababu zipi hasa pale Msimbazi mashine ile ilipuuzwa!!!????